Hebu msome Dr. Shamer hapa na ushauri kuntu

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,633
697,786
Kabla hujasex na mwanamke tumia dakika 5-10 kunusa chupi au umbile la ua la mwanamke ile harufu inayopatikana kwenye uke au chupi ya mwanamke kitaalam tunaita ni Gemosphesex harufu hiyo husafiri hadi kwenye ubongo wa mbele wa ubongo ambapo harufu hiyo itatafsiriwa na ubongo kisha kukupa uwezo mkubwa wa kushiriki tendo la ndoa na mwanamke huyo kwa kiwango cha juu zaidi.

Umewahi kujiuliza kwanini viumbe na wanyama wote kabla ya kufanya sex huanza kwa kunusa uchi wa jike lake kwanza kabla ya kufanya chochote kile ?

Basi hii akifanya binadamu 100% percent mwanaume anaweza kushiriki tendo la ndoa kwa kiwango kirefu zaidi na kwa mdaa mrefu kikubwa harufu ya uke wa mwanamke kama utakuwa na harufu mbaya utafanya ubongo kutozalisha tindikakali kwenye ubongo hivyo lazima mwanamke awe na usafi wa mara kwa Mara.

Dr shamer
 
Sijui kwa nini nimemkumbuka yule Beberu wangu kule kijijini ambacho huwa anakifanya
mg_8166-2.jpeg
 
Kabla hujasex na mwanamke tumia dakika 5-10 kunusa chupi au umbile la ua la mwanamke ile harufu inayopatikana kwenye uke au chupi ya mwanamke kitaalam tunaita ni Gemosphesex harufu hiyo husafiri hadi kwenye ubongo wa mbele wa ubongo ambapo harufu hiyo itatafsiriwa na ubongo kisha kukupa uwezo mkubwa wa kushiriki tendo la ndoa na mwanamke huyo kwa kiwango cha juu zaidi.

Umewahi kujiuliza kwanini viumbe na wanyama wote kabla ya kufanya sex huanza kwa kunusa uchi wa jike lake kwanza kabla ya kufanya chochote kile ?

Basi hii akifanya binadamu 100% percent mwanaume anaweza kushiriki tendo la ndoa kwa kiwango kirefu zaidi na kwa mdaa mrefu kikubwa harufu ya uke wa mwanamke kama utakuwa na harufu mbaya utafanya ubongo kutozalisha tindikakali kwenye ubongo hivyo lazima mwanamke awe na usafi wa mara kwa Mara.

Dr shamer
Mnyama ananusa ili kupata kujua iwapo jike yupo ktk hali ya kupata mimba (ana joto). Wanyama wananusa uke wa jike sio kwa sababu ya starehe bali uzazi.


Wanyama wasionusa, ndio hufanya ngono kwa starehe

Bazazi
 
Back
Top Bottom