Hebu mshauri huyu mama

Hebu mshauri huyu mama

Mungu wangu!!! Mbona majaribu hayo
Nimerudia kusoma Mara 3 .. namuonea huruma huyo Mama

#kiatukinabanaaisee
 
Usipotoa hizo mimba utakuwa huna sifa za kufanya kazi kimataifa. Haihitajiki hata cheti cha la saba kujua ufanye nini. Na usipofanya hivyo utaongeza tatizo lingine, WANAO WOTE WATAKUCHUKIA maisha yao yote.
Familia ndo hiyo inaelekea kuteketea.
 
HABARI NDUGU WALIMU, WAZAZI/WALEZI. NAOMBA NIWASHIRIKISHE KUMSAIDIA MAMA HUYU KUFANYA MAAMUZI SAHIHI JUU YA MAJANGA YANAYO MUANDAMA. SHUKRANI.

Mimi ni mwanamke wa miaka 54, mjane na mama wa watoto watatu - mvulana wa miaka 17 na wasichana wawili mmoja miaka 15 na mwingine miaka 13. Mimi ni mtumishi wa serikali wa kimataifa na ni mkristo mzuri.

Siwaandikii kwa ajili ya kutafuta mchumba bali kuwatumia/ kuwashirikisha kilio changu cha moyoni wazazi wote na pia kuwaomba ushauri.

Kiuhalisia, ninaishi na watoto wangu watatu, katika nyumba yangu, mara nyingi nakuwa ofisini siku nzima (mchana wote) isipokuwa siku za wikiend ambapo ninakuwa nyumbani.

Na tangu mamlaka zimezuia madarasa (watoto wasiende shule), nimewazuia watoto wangu wasitoke nje, wamefichwa tangu mwanzo, kuna msichana tu wa usafi ambaye anakuja kufanya kazi na kuondoka.

Na kwa watoto, ninawaangalia kwa ukaribu sana lakini leo nimezidiwa/nimeelemewa na hichi kinachotokea.

Kila mwezi huwa naangalia kama binti zangu wapo salama, sababu binti mkubwa mara nyingi huwa na maumivu ya tumbo anapokuwa mwezini, hivyo namsaidiaga kila muda.

Lakini cha kushangaza mwezi wa nne hakuonesha chochote, na nikagundua dalili za mwanzoni za ujauzito, hivyo jana asubuhi nikamwambia anipe mkojo wake kidogo, halafu niufanyia kipimo cha ujauzito na majibu yakawa chanya.

Nikanyamaza, jioni nikaenda chumbani kwake kujadili nae kwa upole ili kujua nani anahusika na huu ujauzito.

Kilichonishangaza sana, machozi yakiwa yanatiririka machoni mwake aliniambia kwamba ujauzito ni wa kaka yake. Na kwamba tangu kusitishwa kwa masomo hichi ndicho wanachokifanya nyumbani wakati ambapo sipo nyumbani na pia hata na mdogo wao. Na pale ndipo nilipokumbuka kuwa na yeye (binti mdogo) hajaingia mwezini kwa muda mrefu sababu yeye alivunja ungo akiwa na miaka 11. Kwahiyo nikimfanyia vipimo na yeye pia, kwa bahati mbaya majibu yalikuwa chanya pia.

Kwa mara nyingine, nikiwa mpole niwezavyo, nilimuita kijana wangu kukuuliza nini kilitokea.

Alikiri mahusiano na dada zake, na hayupo nyumbani tangu usiku uliopita na sikusikia chochote tokab kwake.

Nahitaji sana ushauri wenu, nimechanganyikiwa, ninaona ndoto zangu zikizimika baada ya miaka mingi ya kuhangaika. Mume wangu amefariki tangu mwaka 2009 na Mimi ndiye nahusika na kila kitu.

Sijui chakufanya, ninataka kuwaona watoto wangu wakikua pamoja na kuwa watu wanaowajibika lakini kwa hiki kinachotokea sina nguvu iliyobaki ndani yangu.

Nikifikiri juu ya kuwatoa mimba lakini mimi ni mwamini na imani yangu hainiruhusu kufanya hivyo.

Nimechanganyikiwa, nifanye nini?
uyo mtoto wako wa kiume ni rafiki wa karibu sana na shetani, this is too much, ila usipanic, no way out abortion itahusika, au familia itakuwa ni kituko, uyo wa kiume wala usimtafute alale mbele
 
uyo mtoto wako wa kiume kama ameondoka wala usimtafute, alale mbele, uyu atakuua kwa presha
 
Hao watakao zaliwa ni laana hivyo iondoe hiyo laana kabla ya kutokea. Pili unapoenda kuzitoa, huyo baba yao hizo mimba yaani huyo mwanao ajue hatari aliyoiletea dada zake hivyo asije rudia tena. Chunga sana usije mlaumu mbegu ya chuki ikamea kati yao
 
Hao watakao zaliwa ni laana hivyo iondoe hiyo laana kabla ya kutokea. Pili unapoenda kuzitoa, huyo baba yao hizo mimba yaani huyo mwanao ajue hatari aliyoiletea dada zake hivyo asije rudia tena. Chunga sana usije mlaumu mbegu ya chuki ikamea kati yao
Ila wahindi wanaoana wao kwa wao ili ku-maintain economic status-kwamba Mali izunguuke kwenye family/ukoo sio Mali ihamie kungine
 
Usitusemee hutujui wanawake wote, uwage na adabu siku Moja moja basi
Hakuna mwanamke dunian ambae hajawai toa mimba..fikiria tafakar utaona tuu katika mantik.wote mmetoa mimba

Yaan hata kama umecheza peku.kesho yake ukanywa dawa ya kuharib.umetoa mimba

Sasa wew mama unachoogopa nn...au la hii ni chai kamaa chai zingne

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eee tumia likizo ya corona kufanya mchakato kabla hawajarud shule

Ila inakuaje analea watto kimayai hiv yan nikikumbuka enzi zangu miaka 17 naosha mpaka vyombo na kudek nyumba leo hii watto watatu hawafanyi kazi maana yupo msaidizi anaekuja kuwafanyia hili limechangia sana wao kufanya ujinga maana hawana shuhul yoyote ya kufanya nyumban

Kwakipind hiki cha covid angemstopisha huyo mtu wa kazi alafu pangia vijana majukumu kila mtu awajibike kivyake hili lingesaidia kidogo kupunguza haya mauza uza

Juz nimekutana mtu mmoja wa karib sana na mm ananiambia kijana wake wa kiume age hii hii ya foolish age ameanza nyeto kudadis nikagundua kijana hana la kufanya yan yeye masaa yote ni simu simu na yeye na mb mzazi ndo anamuekea kwa siku 2 gb 1 sijui sasa hapo silazima atanyonga nyoka wake

Huko mtandaon kunavitu ving wanaangalia porn na mamb mengine ambayo yanafanya vitu vyaa ajabu kuwa vya kawaida kweny izo porn kuna zile za kaka na dada, mama na mtto , sijui babu na mjukuu huku kunaharibu sana hawa viumbe wanaokaa na masimu makubwa hawana kazi ya kufanya

Jaman jaman malez huchangia mapuuza kama haya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa hapa nitashauri kama bro maarufu wa kitaa na maskani za wauza kahawa

Kwanza, nitoe pole kwa maswahibu hayo

Pili, nikupongeze kwa hatua ulizochukua awali bila papara wala panic. Kwani sasa tunaujua ukweli, wana mimba na mhusika ni kaka yao.

Tatu, niseme tu, huyo dogo wa kiume amebaka dada zake wenye umri chini ya miaka 18 na wanafunzi. Ushahidi ni hizo mimba na mwenyewe amekiri, peleka polisi jela miaka 30, akitoka kanyooka.

Nne, hao madogo wakike ni wahanga wa kubakwa, hizo mimba mnaweza toa, hivyo vitoto hata vikizaliwa vitakufa tu kwasababu za kibaiolojia(When parents are blood relatives, there is a higher risk of disease and birth defects, stillbirths, infant mortality and a shorter life expectancy ), haviwezi ishi, so badala ya kubeba huo mzigo miezi tisa for nothing, vyema kuutoa, kama kuna sheria inaruhusu daktari kuomba kibali cha mahakama ili kuzichoropoa na kuokoa uhai wa mama zao, bora ukatumia mwanya huo.

Tano, someone must pay the cost, sacrifice the boy, save the daughters. End of story.
Ndugu hapo wote wamebakana, hamna mwenye nafuu,wote watoto. Walianza kama masihara, siku nyingi, wamebalehe bado hawajitambui. Ni matokeo ya malezi ya hovyo yasiyo na msingi ya kidini.
Huyo mama akili kichwani mwake, wafanye analoona linafaa, kama ni dini, Mungu anajua mitihani anaopitia, atamsamehe, iwe ni kuishi na hiyo aibu na siri milele, kama kweli kuna siri, au zitolewe kuepusha balaa na mikosi katika familia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu hapo wote wamebakana, hamna mwenye nafuu,wote watoto. Walianza kama masihara, siku nyingi, wamebalehe bado hawajitambui. Ni matokeo ya malezi ya hovyo yasiyo na msingi ya kidini.
Huyo mama akili kichwani mwake, wafanye analoona linafaa, kama ni dini, Mungu anajua mitihani anaopitia, atamsamehe, iwe ni kuishi na hiyo aibu na siri milele, kama kweli kuna siri, au zitolewe kuepusha balaa na mikosi katika familia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ok
 
Ila hawawatto duhh sisi tumelelewa kwamba yan hata ukiona utupu wa dada yako kwa bahat mbaya unahis kufa kufa yan sasa hawa wajinga wananyanduana kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi naona bora wazae tu.
Haina haja.abebe aibu ya familia tu.
Nakama hamna mtu mwingine anajua.
Mkae kimya hivyohivyo.ibaki siri yenu..
Pole.najaribu kuvaa viatu vyako.naona havinitoshi😭
 
Hizo mimba za kutoa tu,yaani watoto wametiana mimba wote wa nyumbani hiyo ni laana kabisa

MONEY STOP NONSENSE
 
pole sana mama.....huna wa kumlaumu zaidi yako wewe mwenyewe...kuna mahali ulikosea.....na ndipo tatizo lilipojipenyeza......ushauri wangu.......funga macho watoe hizo mimba.......utaleta kizazi kibaya na cha AIBU....., wewe na wanao ndio mjuao...........duh hicho kijamaa cha kiume.......sijui wataificha wapi aibu yao......ila ONGEA na MUNGU wako...uwe jasiri atakupitisha......mbele ni kubaya na kunatisha.....tengeneza sasa....pole bibie!!
baba wa hao watoto yaani MAREHEMU, aliondoka bila kinyongo??? maana kuna vitu vinatia kinyaa kama sio aibu....
 
Ila wahindi wanaoana wao kwa wao ili ku-maintain economic status-kwamba Mali izunguuke kwenye family/ukoo sio Mali ihamie kungine
Sawa kabisa lakini umewahi kukaa nao au umewahi kufika India? Unajua wanadamu wanaoitwa ma Dume Jike?? Yaani watu wenye jinsia mbili?? Hicho ni kizazi kinachotokana zaidi na wanaozaana mtu na dada/baba/mamake. Hao ni wengi sana kule India kiasi kwamba wana ulinzi usio wa kawaida kule yaani kila hospitali kuna nurse apelekaye ripoti anaposaliwa mmoja wao. Hivyo anafuatiliwa ili asiuawe. Je, ndiyo mnataka muanzishe mambo hayo hapa kwetu?
 
Sawa kabisa lakini umewahi kukaa nao au umewahi kufika India? Unajua wanadamu wanaoitwa ma Dume Jike?? Yaani watu wenye jinsia mbili?? Hicho ni kizazi kinachotokana zaidi na wanaozaana mtu na dada/baba/mamake. Hao ni wengi sana kule India kiasi kwamba wana ulinzi usio wa kawaida kule yaani kila hospitali kuna nurse apelekaye ripoti anaposaliwa mmoja wao. Hivyo anafuatiliwa ili asiuawe. Je, ndiyo mnataka muanzishe mambo hayo hapa kwetu?
Duhhh mkuu Kama ndo hivo ipingwe vikali
 
Asante kidogo au sana umetoa ushauri huyu Mama asiangalie jamii itamwangaliaje bali aangalie !Mungu atamwangaliaje yeye mwenyewe huyo Mama na Awe jasiri kuikabiri hii dhambi no matter what jina la Mungu lazima libarikiwe

Na kwa ushauri zaidi awaone viongozi wa Dini achukue Ushauri wa Kufanya asipanic !Mungu anaishi na Mungu yupo

Huo ndo ushauri wangu asiwe tayari kuua viumbe visivyokuwa na hatia no matter what Jina La Mungu lazima libarikiwe, huyu Mama kapimwa kiimani lazima na Ukristo alio nao itabidi authinitishe kwa matendo ndo majaribu yaliyomkuta,Ayubu alishinda basi imemkuta huyu Mama

Aende kwa Viongozi wa Dini na watampa Mwongozo
Ama Kweli korona imekuja ma mengi na Watoto wa kike wajiangalie hichi kipindi wengi watapata mimba wasipokuwa makini

pujo njoo uone hili jaribu zito( kila siku wimbo ni ule ule sex kabla ya Ndoa ni hatari ndo jaya sasa yanatokea.oooh kula kimasihala,kimasihala? Kujisifia uasherati?)
Duh!!!. Huyo mtt wa kiume ss amefanya vibaya. Kama ni shetani bs amemkamata. Inakuwaje anatembea na dada zake?. Huu ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa maadili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom