uyo mtoto wako wa kiume ni rafiki wa karibu sana na shetani, this is too much, ila usipanic, no way out abortion itahusika, au familia itakuwa ni kituko, uyo wa kiume wala usimtafute alale mbeleHABARI NDUGU WALIMU, WAZAZI/WALEZI. NAOMBA NIWASHIRIKISHE KUMSAIDIA MAMA HUYU KUFANYA MAAMUZI SAHIHI JUU YA MAJANGA YANAYO MUANDAMA. SHUKRANI.
Mimi ni mwanamke wa miaka 54, mjane na mama wa watoto watatu - mvulana wa miaka 17 na wasichana wawili mmoja miaka 15 na mwingine miaka 13. Mimi ni mtumishi wa serikali wa kimataifa na ni mkristo mzuri.
Siwaandikii kwa ajili ya kutafuta mchumba bali kuwatumia/ kuwashirikisha kilio changu cha moyoni wazazi wote na pia kuwaomba ushauri.
Kiuhalisia, ninaishi na watoto wangu watatu, katika nyumba yangu, mara nyingi nakuwa ofisini siku nzima (mchana wote) isipokuwa siku za wikiend ambapo ninakuwa nyumbani.
Na tangu mamlaka zimezuia madarasa (watoto wasiende shule), nimewazuia watoto wangu wasitoke nje, wamefichwa tangu mwanzo, kuna msichana tu wa usafi ambaye anakuja kufanya kazi na kuondoka.
Na kwa watoto, ninawaangalia kwa ukaribu sana lakini leo nimezidiwa/nimeelemewa na hichi kinachotokea.
Kila mwezi huwa naangalia kama binti zangu wapo salama, sababu binti mkubwa mara nyingi huwa na maumivu ya tumbo anapokuwa mwezini, hivyo namsaidiaga kila muda.
Lakini cha kushangaza mwezi wa nne hakuonesha chochote, na nikagundua dalili za mwanzoni za ujauzito, hivyo jana asubuhi nikamwambia anipe mkojo wake kidogo, halafu niufanyia kipimo cha ujauzito na majibu yakawa chanya.
Nikanyamaza, jioni nikaenda chumbani kwake kujadili nae kwa upole ili kujua nani anahusika na huu ujauzito.
Kilichonishangaza sana, machozi yakiwa yanatiririka machoni mwake aliniambia kwamba ujauzito ni wa kaka yake. Na kwamba tangu kusitishwa kwa masomo hichi ndicho wanachokifanya nyumbani wakati ambapo sipo nyumbani na pia hata na mdogo wao. Na pale ndipo nilipokumbuka kuwa na yeye (binti mdogo) hajaingia mwezini kwa muda mrefu sababu yeye alivunja ungo akiwa na miaka 11. Kwahiyo nikimfanyia vipimo na yeye pia, kwa bahati mbaya majibu yalikuwa chanya pia.
Kwa mara nyingine, nikiwa mpole niwezavyo, nilimuita kijana wangu kukuuliza nini kilitokea.
Alikiri mahusiano na dada zake, na hayupo nyumbani tangu usiku uliopita na sikusikia chochote tokab kwake.
Nahitaji sana ushauri wenu, nimechanganyikiwa, ninaona ndoto zangu zikizimika baada ya miaka mingi ya kuhangaika. Mume wangu amefariki tangu mwaka 2009 na Mimi ndiye nahusika na kila kitu.
Sijui chakufanya, ninataka kuwaona watoto wangu wakikua pamoja na kuwa watu wanaowajibika lakini kwa hiki kinachotokea sina nguvu iliyobaki ndani yangu.
Nikifikiri juu ya kuwatoa mimba lakini mimi ni mwamini na imani yangu hainiruhusu kufanya hivyo.
Nimechanganyikiwa, nifanye nini?
![]()
Ila wahindi wanaoana wao kwa wao ili ku-maintain economic status-kwamba Mali izunguuke kwenye family/ukoo sio Mali ihamie kungineHao watakao zaliwa ni laana hivyo iondoe hiyo laana kabla ya kutokea. Pili unapoenda kuzitoa, huyo baba yao hizo mimba yaani huyo mwanao ajue hatari aliyoiletea dada zake hivyo asije rudia tena. Chunga sana usije mlaumu mbegu ya chuki ikamea kati yao
Hakuna mwanamke dunian ambae hajawai toa mimba..fikiria tafakar utaona tuu katika mantik.wote mmetoa mimba
Yaan hata kama umecheza peku.kesho yake ukanywa dawa ya kuharib.umetoa mimba
Sasa wew mama unachoogopa nn...au la hii ni chai kamaa chai zingne
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu hapo wote wamebakana, hamna mwenye nafuu,wote watoto. Walianza kama masihara, siku nyingi, wamebalehe bado hawajitambui. Ni matokeo ya malezi ya hovyo yasiyo na msingi ya kidini.Sawa hapa nitashauri kama bro maarufu wa kitaa na maskani za wauza kahawa
Kwanza, nitoe pole kwa maswahibu hayo
Pili, nikupongeze kwa hatua ulizochukua awali bila papara wala panic. Kwani sasa tunaujua ukweli, wana mimba na mhusika ni kaka yao.
Tatu, niseme tu, huyo dogo wa kiume amebaka dada zake wenye umri chini ya miaka 18 na wanafunzi. Ushahidi ni hizo mimba na mwenyewe amekiri, peleka polisi jela miaka 30, akitoka kanyooka.
Nne, hao madogo wakike ni wahanga wa kubakwa, hizo mimba mnaweza toa, hivyo vitoto hata vikizaliwa vitakufa tu kwasababu za kibaiolojia(When parents are blood relatives, there is a higher risk of disease and birth defects, stillbirths, infant mortality and a shorter life expectancy ), haviwezi ishi, so badala ya kubeba huo mzigo miezi tisa for nothing, vyema kuutoa, kama kuna sheria inaruhusu daktari kuomba kibali cha mahakama ili kuzichoropoa na kuokoa uhai wa mama zao, bora ukatumia mwanya huo.
Tano, someone must pay the cost, sacrifice the boy, save the daughters. End of story.
OkNdugu hapo wote wamebakana, hamna mwenye nafuu,wote watoto. Walianza kama masihara, siku nyingi, wamebalehe bado hawajitambui. Ni matokeo ya malezi ya hovyo yasiyo na msingi ya kidini.
Huyo mama akili kichwani mwake, wafanye analoona linafaa, kama ni dini, Mungu anajua mitihani anaopitia, atamsamehe, iwe ni kuishi na hiyo aibu na siri milele, kama kweli kuna siri, au zitolewe kuepusha balaa na mikosi katika familia.
Sent using Jamii Forums mobile app
una ushahidi wa mtu kuzaa na binti yake?Dunia Ina mengi sana hii ukiona kuna utulivu na amani kwenye familia yako mshukuru MUNGU sana, wapo wanaozaa na watoto wao wa kike,wapo wanaofanya mapenzi na mama zao kwa lengo la kupata utajiri we are living in a lotten World
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa kabisa lakini umewahi kukaa nao au umewahi kufika India? Unajua wanadamu wanaoitwa ma Dume Jike?? Yaani watu wenye jinsia mbili?? Hicho ni kizazi kinachotokana zaidi na wanaozaana mtu na dada/baba/mamake. Hao ni wengi sana kule India kiasi kwamba wana ulinzi usio wa kawaida kule yaani kila hospitali kuna nurse apelekaye ripoti anaposaliwa mmoja wao. Hivyo anafuatiliwa ili asiuawe. Je, ndiyo mnataka muanzishe mambo hayo hapa kwetu?Ila wahindi wanaoana wao kwa wao ili ku-maintain economic status-kwamba Mali izunguuke kwenye family/ukoo sio Mali ihamie kungine
Duhhh mkuu Kama ndo hivo ipingwe vikaliSawa kabisa lakini umewahi kukaa nao au umewahi kufika India? Unajua wanadamu wanaoitwa ma Dume Jike?? Yaani watu wenye jinsia mbili?? Hicho ni kizazi kinachotokana zaidi na wanaozaana mtu na dada/baba/mamake. Hao ni wengi sana kule India kiasi kwamba wana ulinzi usio wa kawaida kule yaani kila hospitali kuna nurse apelekaye ripoti anaposaliwa mmoja wao. Hivyo anafuatiliwa ili asiuawe. Je, ndiyo mnataka muanzishe mambo hayo hapa kwetu?
Duh!!!. Huyo mtt wa kiume ss amefanya vibaya. Kama ni shetani bs amemkamata. Inakuwaje anatembea na dada zake?. Huu ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa maadili.Asante kidogo au sana umetoa ushauri huyu Mama asiangalie jamii itamwangaliaje bali aangalie !Mungu atamwangaliaje yeye mwenyewe huyo Mama na Awe jasiri kuikabiri hii dhambi no matter what jina la Mungu lazima libarikiwe
Na kwa ushauri zaidi awaone viongozi wa Dini achukue Ushauri wa Kufanya asipanic !Mungu anaishi na Mungu yupo
Huo ndo ushauri wangu asiwe tayari kuua viumbe visivyokuwa na hatia no matter what Jina La Mungu lazima libarikiwe, huyu Mama kapimwa kiimani lazima na Ukristo alio nao itabidi authinitishe kwa matendo ndo majaribu yaliyomkuta,Ayubu alishinda basi imemkuta huyu Mama
Aende kwa Viongozi wa Dini na watampa Mwongozo
Ama Kweli korona imekuja ma mengi na Watoto wa kike wajiangalie hichi kipindi wengi watapata mimba wasipokuwa makini
pujo njoo uone hili jaribu zito( kila siku wimbo ni ule ule sex kabla ya Ndoa ni hatari ndo jaya sasa yanatokea.oooh kula kimasihala,kimasihala? Kujisifia uasherati?)