Mimi ni msichana wa miaka 21 ninampenzi wangu tumekaa naye mwaka wa tatu sasa, ninampenda sana na ninamjali
Mpenzi wangu ananihudumiaga kila ninachitaka, ila nimepata mpenzi mwingine kwenye instagram, anasema ananipenda sana.
Ebu niambieni, ila naona huruma kumuacha mpenzi wangu huyu kwasababu ananifanyia kila kutu, ila wa Facebook pia nampenda
#Nushaurini je? Nimuache au maana nimechoka sasa kuwaza
Wewe ni jinsia gan
wewe sio mwanamke am sure
Mimi ni msichana wa miaka 21 ninampenzi wangu tumekaa naye mwaka wa tatu sasa, ninampenda sana na ninamjali mpeenzi wangu ananihudumiaga kila ninachitaka, ila nimepata mpenzi mwingine kwenye instagram, anasema ananipenda sana.
Ebu niambieni, ila naona huruma kumuacha mpenzi wangu huyu kwasababu ananifanyia kila kutu, ila wa Facebook pia nampenda. je? Nimuache au maana nimechoka sasa kuwaza.
Ushauri tafadhali
Kwani shule zimefungwa jamani?
Mimi ni msichana wa miaka 21 ninampenzi wangu tumekaa naye mwaka wa tatu sasa, ninampenda sana na ninamjali mpeenzi wangu ananihudumiaga kila ninachitaka, ila nimepata mpenzi mwingine kwenye instagram, anasema ananipenda sana.
Ebu niambieni, ila naona huruma kumuacha mpenzi wangu huyu kwasababu ananifanyia kila kutu, ila wa Facebook pia nampenda. je? Nimuache au maana nimechoka sasa kuwaza.
Ushauri tafadhali