Kwanza binti ukiwa muongo uwe na akili...ulipo hapo una wapenzi watatu, mmoja ni huyo mfadhili, wapili ni wa Instagram na huyo unayempenda Facebook.
Mathematical huyu anayekuhudumia umeanza naye ukiwa na miaka 18 na nadhani ulichofata kwake ni huduma tu ila sasa umeshaanza kujua Intagram na Facebook ndo maana unaona hana tena maana...ushauri wangu ni kwamba ingia kwenye mitandao yote ya kijamii utafute wapenzi, kaa nao miaka kumi mbeleni utakuja kujua ni nani alikuwa heaven sent!