Hebu mfungukie msanii wako

Hebu mfungukie msanii wako

Mfarisayomtata

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2012
Posts
474
Reaction score
188
Hivi msanii gani wa Bongo fleva ambaye hata akipiga shoo bure huwezi kwenda?? Mimi kwa upande wangu ni Jafarai.
 
Mimi wote aisee

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Mim kwangu ni mr nice na bob juniour
 
mm DIAMOND, NA YULE DIMPOZ, sheta na nk hata wakifanya show ya kugawa hela sitimbi
 
wooote .....ispokuwaaaaa....LINEX na BANANA ZOROOOOO
 
Me wote isioikuwa wale wenye uwezo wa kuimba live mf lina,barnaba,banana,jaydee nk.. Me siwez kwenda kwenye shoo kusikiliza cd wakat nyumban ninayo
 
Nitaenda ya Kiba, Linex, Mwasiti, Barnaba na, Banana Zoro.

Jafarai, Bobjunior, Kassim hata kwa kunilipa hela siendi.
 
Jamani hata kama humpendi mpaka wote tujue? kila mtu ana mahaba yake.
 
Jamani hata kama humpendi mtu ndio mpaka wote tujue? kila mtu ana mahaba yake.
 
baba kaila..(sheta)....,ney wa mitego,jafarrai,recho,shilole,kr,doro,..puuuuhhhh siendiii hata nipewe hela
 
wote sitoenda ila ya christian bella,mwana fa,darassa na tamaduni music!
 
Back
Top Bottom