Hebu malizia hii!

Hebu malizia hii!

Pure nomaa

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2011
Posts
1,158
Reaction score
1,388
Wakubwa naomba mnisaidie kujibu swali hili baada ya mifano michache ifuatayo
anakupenda unampenda kwa hiyo mnapendana
unamheshimu anakuheshimu kwa hiyo mnaheshimiana
anakutii unamtii kwa hiyo ...............malizia sasa
 
Mfano, ktk kusalimiana kwa mbali, we punga na mi napunga tunapungiana. Sasa hapo mnatiiana.
 
Wakubwa naomba mnisaidie kujibu swali hili baada ya mifano michache ifuatayo
anakupenda unampenda kwa hiyo mnapendana
unamheshimu anakuheshimu kwa hiyo mnaheshimiana
anakutii unamtii kwa hiyo ...............malizia sasa

daah,man kwani phone yangu inanizingua yaan nikicomment halafu nikibonye back post inajiandika kama vile mimi ndiyo nimeituma sorry kwan imetokea kwenye post yako
 
Back
Top Bottom