Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Feb 3, 2009 42,299 33,080 Aug 10, 2018 #1 Wengi hapo hapo mutafeli ninawachanganya akili zeunu....
Mgirik JF-Expert Member Apr 27, 2013 13,204 13,179 Aug 10, 2018 #3 Hii ni sawa na ile kesi ya mtu aliyepasuliwa kichwa badala ya mguu na aliyepasuliwa mguu badala ya kichwa... Nafkir umenielewa mzee MziziMkavu
Hii ni sawa na ile kesi ya mtu aliyepasuliwa kichwa badala ya mguu na aliyepasuliwa mguu badala ya kichwa... Nafkir umenielewa mzee MziziMkavu
Babkey JF-Expert Member Dec 10, 2010 4,834 3,655 Aug 10, 2018 #4 Bendera ya tz....maandishi kenya. Teh teh.....ndio maana mlima kilimanjaro upo "kwao"
evonik JF-Expert Member Jun 12, 2015 3,998 5,130 Aug 10, 2018 #6 Ukisikia jezi feki bas ndo hizi Kila siku MH kangi anazungunzia
king otaligamba JF-Expert Member Oct 24, 2016 2,174 2,029 Aug 10, 2018 #7 Kwahiyo wanataka hadi bendera yetu iwe yao. Wakenya wamezidi sasa. Naona kabisa wanatamani rangi za bendera yetu.
Kwahiyo wanataka hadi bendera yetu iwe yao. Wakenya wamezidi sasa. Naona kabisa wanatamani rangi za bendera yetu.
sikongefdc JF-Expert Member Oct 18, 2017 1,612 2,146 Aug 10, 2018 #8 Yani mchezaji wa simba alipwe na yanga?
S V Surovikin JF-Expert Member Aug 8, 2015 13,590 32,672 Aug 10, 2018 #10 Hii inadhihirisha Kenya na Tanzania tunakaribia kuungana
Black Sniper JF-Expert Member Dec 10, 2013 28,368 45,570 Aug 11, 2018 #14 Tunakaribia kuiteka Tanzakenya Lakini sio kama Crimea
Bishop Hiluka JF-Expert Member Aug 12, 2011 7,140 14,678 Aug 11, 2018 #16 Aisee!... mchanganyiko maalumu...
kizaizai JF-Expert Member Mar 31, 2010 5,340 6,493 Aug 11, 2018 #17 Fuatilieni wadau unaweza kuta Kenya nao wamehamia TZ, maana hii hamama inayoendelea bongo unaweza kuta imevuka mipaka.
Fuatilieni wadau unaweza kuta Kenya nao wamehamia TZ, maana hii hamama inayoendelea bongo unaweza kuta imevuka mipaka.