Mwaka 2005 dola moja ya Marekani ilikuwa Tsh 950 leo baada ya miaka kumi dola moja ni Tsh 2100!!!pesa yetu inashuka thamani kila siku na mfumuko wa bei unaongezeka sana..CCM OUT
Uongozi na Utawala mbovu pesa haina baraka hiyo chini ya uongozi na utawala mbovu Aliye waroga Wa Danganyika amekwisha kufa siku nyingi kwa hiyo hamuwezi kupona Poleni ndugu zangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.