AND YOU ARE STILL SINGLE N DESPERATE!
I doubt the credibility of ur advice. :yo:
KOMAAAAAAAAAAA! I AINT SINGLE OR DESPERATE!!!!!! I got a lonterm BF babu weee! Tunapendana sanaaa (Ofcourse sometimes tunapeana yellow card na nini)
Alafu ushawahi kujiuliza UKISHAOLEWA THEN WHAT?????????????
Mimi i have a plan with my life! Siishi tu ilimradi! Nina malengo yangu na yanazingatia sanaaa time factor.
1. Nasoma na kujicertify , nakusanya experience to build my career ili by the time im 25 nifikie level flani za juu sanaaa za management! And failure is not an option!
2.Nategemewa ati! Kuna watu wangu back in the days niliwapotezaga wakafeli so niliwaahidi nitawasomesha, ndo nawaendeleza saivi sasa na unajua elimu kwa zero brain ni ghali sanaaa! Bt i cant give up! Jst Taking responsibilty for my past actions.
3.Kuna vitu nilijipangia kuwafanyia wazazi wangu! Ndo nimeanza kutekeleza! Siwezi kuahirisha coz siwezi jua kama kesho watakuwepo! Im jst payin them back for their kindness! And make them feel special to me!
4.Kuna malengo yangu ya kiuchumi nilijiwekeaga ndo najitahidi kukamilisha!
MAISHA SIO NDOA TU!!!!!!!!! Kama ulivoona hapo juu uchumi wa ndoa sina saivi! Wala uchumi wa kuzaa sina! Na siwezi kuharibu maisha yangu jst because!
After all for me QUALITY YA MAISHA BAADA YA NDOA INA MATTER ZAIDI KULIKO NDOA YENYEWE!!!!! Mambo ya kuolewa unaishi vibaya vibaya siyawezi naweza hata kusepa baada ya mwezi wa ndoa! No thanks!
Kama nilivokwambia kuhusu my Life Plan! Hata baada ya ndoa nina plan na expectations zangu niishi maisha gani na wanangu niwape maisha gani! Sasa mambo mazuri hayataki haraka!
Mimi na mwenzangu bado tunatafuta maisha! Hata tusipoona mimi na wanangu lazima tuishi vizuri! Period! Failure is not an option! Again.
Ofcourse nikipata Bonge la Bwana linanikamilishia yote hayo tuoane fasta! Afu na mimi nimempenda! Naolewa tu mbonaaa! Ila vinginevo hapana!
MAISHA NI KUCHAGUA NIMECHAGUA KUTAFUTA MAISHA! (GET RICH OR DIE TRYING)