Naki 12
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 1,232
- 1,239
Wanasayansi walikiuka utaratibu wa majaribio ya Chanjo,
Sjawahi kuona ugunduzi wa tiba unaanza majaribio moja Kwa moja Kwa binadamu, ndio mara ya Kwanza,
Wanajua wanachoitafutia hii dunia yenye uwingi wa watu na majengo mengi yanayotaka kuielemea dunia
ni kama kuna jambo linaharakishwa kupitia chanjo mhh