Hayati Magufuli aliona mbali kuhusu chanjo, ona sasa huko Ulaya wanavyoanza kupukutika

The thing is 99% hawagandi damu so bado WHO wapo sahihi..... Watu 20 out of million 17 is too little to observe as a setback!!

Hata waliotumia ARV kuanzia 2010 ukiwahoji leo trust me 10% wanadevelop complications nyingine ila sababu ni sample ndogo hawawezi kuzipiga marufuku same to Astra zeneca walau ikifika 1% ndio itakua too big to neglect.
Sasa hivi tunawachanja Astrazeneca watu wenye kuanzia umri wa miaka 55 na kuendelea huko, tupo vizuri na Astrazeneca zetu.
 
Kwani chanjo inazuia kifo?
Hapana. Lakini inaongeza (sana) uwezekano uishi hadi umri unaolingana na maumbile yako na mazingira yako.
Hayati Magu aliaga dunia mapema kidogo kwa sababu alikuwa na matatizo ya moyo (ambayo yangemwua tayari miaka 100 iliyopita katika mazingira tofauti pasipo na tiba ya kisasa na mitambo yake) na katika udhaifu huo hakuweza kuvumilia maambukizo ya Covid - ambayo angeshinda kama angepokea chanjo.
Hivyo ndivyo naona uwezekano mkubwa nikiangalia habari zote zinazopatikana.
 
Unajua maana ya nabii wewe?
Nabii ni yeyote hata wewe. Ila kwa waswahili waliokombwa akili vichwani lazima nabii awe mweupe au mwarabu. Kimsingi, hata mimi ni nabii humu JF tokana na kuwapa mawazo yenye kuwavusha katika mengi. Si vibaya kusema Magufuli, Nyerere, Mkapa, Mwinyi minus Kikwete ni manabii.
 
Oooh kumbe usipopewa msaada wanageuka Wadau wa maendeleo ila ukipewa bure ndio wanakua mabeberu?

Mbona hamueleweki msimamo wenu? Kama mabeberu ni wabaya na wanataka kutuua hamuogopi Bombardier zao watazihack zilipuke ili waje kuchukua rasilimali zetu? Hahahaha
Kwako wazungu ni binaadamu spesho ni tofauti na viumbe wengine,hapo ndio panapofanya tusielewane. Yani kwa sababu wanatengeneza ndege au madawa ni sababu ya uzungu wao kwamba uzungu ndio huwafanya waweze kufanya hayo yote.
 
Hapana. Lakini inaongeza (sana) uwezekano uishi hadi umri unaolingana na maumbile yako na mazingira yako.
Hayati Magu aliaga dunia mapema kidogo kwa sababu alikuwa na matatizo ya moyo (ambayo yangemwua tayari miaka 100 iliyopita katika mazingira tofauti pasipo na tiba ya kisasa na mitambo yake) na katika udhaifu huo hakuweza kuvumilia maambukizo ya Covid - ambayo angeshinda kama angepokea chanjo.
Hivyo ndivyo naona uwezekano mkubwa nikiangalia habari zote zinazopatikana.
Kwahiyo tuseme chanjo za China sio bora ndio maana pamoja na Magufuli kuchanja ila kafa kwa corona?
 
Hujalazimishwa wacha tu ukafe maana huna cha kuacha zaidi ya card ya uvccm
Unasema sijalamishwa wakati siwezi kwenda kuhiji bila kudungwa chanjo, yani nalazimishwa nidungwe chanjo ndio nikagandie damu huko Saudia bila ya hivyo huwezi kwenda.
 
Tatizo ni ubishi usiokuwa na maana.... ungesema waliopewa chanjo ni watu kadhaa, kati ya hao kadhaa wamekufa kwa kuganda damu, ili tujue risk factor zake. Hata ARV kuna watu wakitumia side effects zake ni kupata temporary insanity. Kama nilivyosema hakuna medical product inayomkubali kila mtu. Hata dawa za headache kuna watu zinawakataa. Tatizo kwenye hili jambo tumetanguliza politics over science.

Side effects ni jambo la kawaida, nimekwambia issue ni wangapi wanapata faida vs wanaopata hasara. Hizo ndio namba muhimu. Hata magari yanaua watu, sijawahi kusikia mtu akisema tuzuie magari kabisa
Kama ni kawaida kwanini zinazungumziwa na baadhi ya nchi kuchukua hatua mbalimbali kama kusitisha matumizi kwa vijana?
 
Hata kama haziko kwenye majaribio, lazima wanasayansi mbalimbali wazifanyie utafiti kujiridhisha kama zina ubora au la. Ni kama wewe unapoenda kununua kitu kipya dukani, huamini tu kama ni kitu kipya, utafanya juu-chini ujiridhishe kama ni kitu kipya kweli.
Hili la chanjo kugandisha damu walikuwa wanalijua hao wanasayansi?
 
Kama ni kawaida kwanini zinazungumziwa na baadhi ya nchi kuchukua hatua mbalimbali kama kusitisha matumizi kwa vijana?
Wenzetu ni waoga sana na medical malpractice. Kitu kidogo tu, wanalipishwa fidia kubwa sana, ndio maana wako cautious. Lakini namba hazidanganyi, walioathirika ni kidogo mno, negligible
 
Kile tunachofahamu juu ya vidonge vya damu visivyo vya kawaida vilivyounganishwa na chanjo ya J & J .

Wataalam wanafikiria jinsi ya kugundua haraka na kutibu mgando usio wa kawaida unaosababishwa na dozi za Johnson & Johnson na AstraZeneca.

Wakati mamilioni ya watu wanapata chanjo, waganga wanatarajia maeelfu kadhaa watakua na damu yenye vinasaba au visababishi vya kugandisha damu.

"Chanjo imeunganishwa wazi na shida hii adimu," anasema Warkentin, ambaye ni mwandishi mwenza kwenye moja ya majarida ya NEJM. "Tuna bunduki inayofuka moshi ."

Hatujui bado ikiwa kuna viambatisho vya maumbile au utabiri mwingine dhahiri ambao unaweza kuwafanya watu waweze kukabiliwa na hali hii. "Tunajua kutoka kwa utafiti wa HIT kwamba hatuwezi kutabiri ni nani atakayekuza shida hii," anasema Warkentin.

Kinachojulikana ni kwamba huwa inawagonga wanawake wadogo. Wagonjwa wote sita hukomarekani walikuwa wanawake kati ya umri wa miaka 18 na 48, na idadi kubwa ya wagonjwa huko Ulaya walikuwa chini ya miaka 60. Wataalam hawawezi kusema kwa hakika, lakini wana dalili za kwanini damu huganda.

Hizi dawa za chanjo naona kama zinafanyiwa majaribio direct kwa binadamu na sasa majawabu yanaanza kujitokeza. Kama haitoshi chanjo hizo aina mbili zimestishwa mpaka litakapotolewa tangazo jingine.
mnasumbuka sana nyie magafulists kwa hoja za kuokoteza hamjambo
 
Hivi mkuu hujui kama kuna dawa za miti shamba ambazo zimefanyiwa uchunguzi wa kisayansi na kuonekana zinatibu magonjwa? Tatizo sio mitishamba(maana hata hizo dawa za kizungu hutumika hiyo mitishamba) bali ni uchunguzi wa kisayansi, sasa wewe unataka kutuambia kila dawa lazima itoke maabara kwa maana lazima iwe na mikemikali ndio uone dawa bora.
Jiulize wachina ambako wao ndio wa mwanzo kukabiliana na covid, basi nao pia wanatumia vacine kupambana na janga hili. China iko mbali sana kwa sayansi ya miti shamba kuliko TZ!
 
Jiulize wachina ambako wao ndio wa mwanzo kukabiliana na covid, basi nao pia wanatumia vacine kupambana na janga hili. China iko mbali sana kwa sayansi ya miti shamba kuliko TZ!
Kwahiyo ulitaka kusema nini?
 
Miti shamba haifanyi kazi kwa covid-19, nina hakika wachina walijaribu mitishamba kwanza maana imo ndani ya utamaduni huo. Na kwa kweli wako fiti sana na miti shamba.
Sijui hata unaongea nini mkuu, hivi unaposema mitishamba haifanyi kazi kwa covid sijui hata wewe kama unaelewa vizuri hiyo kauli.

Chanjo sio tiba ya covid Hivyo hadi sasa huko China hawana dawa ya Covid, kwahiyo tuseme sayansi haifanyi kazi kwa covid?
 
Back
Top Bottom