Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,331
- 33,145
Shabiki wa soka nchini Kenya ambaye ni fan wa kutupa wa Man United John Macharia amejiua wikiendi hii akijirusha kutoka ghorofa ya saba katika Apartment anayoishi baada ya timu yake ya Manchester United kufungwa na Newcastle siku ya Jumamosi
Mpuuzi sana huyu
duh washabiki wa Man United kumbe vichwa vyao wanafugia nywele tu? kwa hali hii wataongezeka kufa tarehe kumi na nne mnapigwa tena!
Shabiki wa soka nchini Kenya ambaye ni fan wa kutupa wa Man United John Macharia amejiua wikiendi hii akijirusha kutoka ghorofa ya saba katika Apartment anayoishi baada ya timu yake ya Manchester United kufungwa na Newcastle siku ya Jumamosi
...kuanzia sasa mechi zote man watashinda,kafara imeshatolewa...
Timu ziko ulaya mtu anajiua Africa???
Hakuna cha shetani,huyu jamaa ni mjinga sana!Hii ni shetani kabisa kazini.
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums