Puppy
JF-Expert Member
- Oct 6, 2011
- 2,995
- 2,494
wakati fulani nawakubali hawa jamaa!
Wangenisaidia kwenye hii shughuli ningefurahi sana
wakati fulani nawakubali hawa jamaa!
Sasa ndio naamini kabisa beyond any reasonable doubt kuwa bwa.figa ni kibopa fulani na kazi yake inainvolve kusafiri sana nchini..
Na wamelitambua hilo kwamba 2015 ni zamu ya wananchi kuchukua nchi ndo mana sasa hivi wanamalizia kwa fujo.Waache watanue mara ya mwisho maana 2015 wananchi watachukua nchi yao na kupata Uhuru. Ama kweli CCM ya sasa ni aheri ya Mkoloni.
alikuwa anasoma mazingira, kashayajua nyie wananchi mtajiju.huyu jamaa kabla alijifanya mpiganaji kumbe ni mwizi!