bila shaka, ila ni kawaida imeshakuwa mazoea sasakuna tatizo kwenye halimashauri yako
jaribu kujibanabana tu, pesa ya mshahara sio ya kulewea ama kufanyia starehe.Mkuu ada inapatikana wapi,salary yenyewe ni madeni tupu. Mishahara ya tgs sio kabisa mwana.
hapo kwenye xmas ndio unapokosea! ratiba za sikukuu zina julikana, kwani si zipo kwenye kalenda? tatizo letu watanzania ni vipaumbele, kipi kianze, kipi ni cha muhimu na kwa wakati gani. tukianza na hapo, basi hakutakua na shida tena!Mkuu tufanyeje,hela hamna,hata raha ya kufanya kazi na ari imedidimia,xmass imepita bila kuwa na chochote mfukoni,serikali mnatuumiza!sijui hilo mnalitambua?!
Cdhani kama nimekosea hata kidogo;makubaliano na ahadi serikali iliyotoa ni kuwa wafanya kazi wote wa umma wapate mshahara kabla ya tarehe 25,leo ni tarehe ngapi na bado mshahara wenyewe haujulikani;na mbaya zaidi unaweza ukaenda mpaka tarehe 5-7 ya mwezi mwingine bila hata serikaali kutoa tamko lolote.Just look on other side of the coin Mkuu MULUGU.Ingelikuwa wewe.hapo kwenye xmas ndio unapokosea! ratiba za sikukuu zina julikana, kwani si zipo kwenye kalenda? tatizo letu watanzania ni vipaumbele, kipi kianze, kipi ni cha muhimu na kwa wakati gani. tukianza na hapo, basi hakutakua na shida tena!
hakuna sababu ya kua na hasira ndugu, unaweza kua kichaa bure, matatizo ni mengi!una kichaa wewe...unanifundisha jinsi ya kutumia pesa yangu ninayoitafuta kwa jasho? njoo unsaidie kutafuta basi😱hwell:![]()
matumizi gani wakati vimishahara viduchuuuuuuuhakuna sababu ya kua na hasira ndugu, unaweza kua kichaa bure, matatizo ni mengi!
nashauri tu, namna ambayo unapaswa kufanya mutumizi sahihi hasa katika kipindi hiki, ili baadae usije elekeza malalamiko yako kwa serikali, kama ilivyo kawaida yenu wananchi. tatizo
hizo ni kasoro ndogo ndogo zilizoko kwenye baadhi ya halimashauri zetu, sio tatizo la serikali kiujumla.Cdhani kama nimekosea hata kidogo;makubaliano na ahadi serikali iliyotoa ni kuwa wafanya kazi wote wa umma wapate mshahara kabla ya tarehe 25,leo ni tarehe ngapi na bado mshahara wenyewe haujulikani;na mbaya zaidi unaweza ukaenda mpaka tarehe 5-7 ya mwezi mwingine bila hata serikaali kutoa tamko lolote.Just look on other side of the coin Mkuu MULUGU.Ingelikuwa wewe.
lakini huu ni muda wa kazi jamani, inakuaje mko hapa?
kumbukeni ni haki na wajibu, huwezi kudai haki kama wewe unashindwa kutimiza wajibu wako ipasavyo.
ndugu lawama inabidi uzielekeze kwako wewe binafsi, taaluma yako imekusaidiaje katika kukabiliana na changamoto za maisha?Msha -ha- raaa wa laki tano na Elfu Ishirini (520,000)!!. Ada ya Mtoto mmoja laki nane na Themanini (880,000). Hii kitu hovyo....