Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 7,943
- 15,678
Hivi mapenzi ya hivi bado yapo kweli?





sagambahahahahahahah, ila atakuwa hana machacha, magaga, ngaka, kupasuka nyayo (mwenye kujua Kiswahili fanisi anisaidie)
Mgeni kwa midole ya mwanamke mirefu namna hiyo au kunyonywa mguu?!mmh nahisi mimi ni mgeni maeneo haya
Hayo kuyafanya kwa Mwajuma Ndalandefu inataka moyo.hahahahahahah, ila atakuwa hana machacha, magaga, ngaka, kupasuka nyayo (mwenye kujua Kiswahili fanisi anisaidie)
Umeona eh, bonge la guu midole hiyoMh uyo mwanamke mbona kama anaumbo la goliath

ata ukute dole lina funza.that called love kwa kweliWhen u love someone,cherish her,care 4 her, worship her uwezi kujal kufanya chochote...that's called love kwa kweli
mmmmmmmh! unapata mzuka gani kwenye miguu? kama sio kuleteana kipindupinduWhen u love someone u cherish her,respect her, care 4 her and worship her utojal kufanya ivo that's called love kwa kweli
Dah! Yan mpaka nikawaza labda kalazimishwa maana ilo jike shupa.Umeona eh, bonge la guu midole hiyo![]()
![]()