Haya ni madini ya vito yanitwa emaraldsWakuu, naomba wenye utaalam wa madini wanifahamishe kuwa haya ni madini aina gani?View attachment 1550634View attachment 1550635
Ruby imekolea sana mkuu, yani ni ile real redSiyo Ruby Hayo
Cc mrangi njoo okoa jahaziWakuu, naomba wenye utaalam wa madini wanifahamishe kuwa haya ni madini aina gani?
View attachment 1550634View attachment 1550635
Ha ha ha,Hayo madini yanaitwa crocodile teeth, utapiga Sana hela mwanangu
Ruby hiyo kakaWakuu, naomba wenye utaalam wa madini wanifahamishe kuwa haya ni madini aina gani?
View attachment 1550634View attachment 1550635
Ruby imekolea sana mkuu, yani ni ile real red
Nadhani ni red garnet mkuuWakuu, naomba wenye utaalam wa madini wanifahamishe kuwa haya ni madini aina gani?
View attachment 1550634View attachment 1550635
Gemstones hizo apo red gunet hizo kilo ni 8_15mlWakuu, naomba wenye utaalam wa madini wanifahamishe kuwa haya ni madini aina gani?
View attachment 1550634View attachment 1550635
Una mawazi ya kiwizi wizi sana.Kuna mtu analia mda sio mrefu!
Yani huyo mtu apate hayo madini, alafu aje akuulize wewe uliyemweupe kwenye maswala ya madini, yeye kayatoa wapi? Kuwa serious mkuu!Una mawazi ya kiwizi wizi sana.
Badilika mkuu sio wote matapeli kama unavyoamini.
Haya madini kuna mtu amepata, anataka kujua thamani yake kabla ya kutangaza soko.
Ameniomba ushauri nami ni mweupe sekta hii
Mtu mwenyewe Chuku chuku kuna haja gani kujibishana naye?Yani huyo mtu apate hayo madini, alafu aje akuulize wewe uliyemweupe kwenye maswala ya madini, yeye kayatoa wapi? Kuwa serious mkuu!
Pamoja sana mkuu wangu.!Mtu mwenyewe Chuku chuku kuna haja gani kujibishana naye?
Haya sasa umepokea malalamiko yoyite?
Acha ufukara kichwani wewe jf ni ndugu tumeelimishana kila wakati