Haya ni maajabu kweli kweli....

Haya ni maajabu kweli kweli....

Ninachojua kwamba ni real ni kwamba kama mwanamke akichukua damu ya hedhi akaifunga kwenye jani la mpapai wa kiume halafu akalianika mpaka likauke na ile damu. siku akisaga hilo jani na kulimwaga mlangoni kwake. mumewe akipita hapo mlangoni hawezi kutoka nje ya ndoa maishani tena kwani hata kama atakwenda nje haitasimama kamwe

duuh mbona una nichanganya sasa...hii pia yaweza kuwa ni super limbwata.
 
maneno mengi ya nini wakati 'sample' zote tunazo? siku tufanye experiment, aje msichana aliye kwenye siku zake na uletwe mchicha.. ashike huo mmea na tuone nini kitatokea
Sio uletwe hii ni mkwa mmea ulio hai tu, mimi huwa naamini hali hiyo hutokea kwa mpilipili mtu mwenye hali hiyo huchumiwa, akichuma yeye mmea huo hauna maishs tena.
 
kuna maajabu mengi sana ila hatuna watafiti wanaotaka kufanya juu ya uhusiano wa hedhi na mazingira tunayoishi,ila nilichoambiwa kwamba mwanamke akiwa k
tk hali hiyo alikuwa haruhusiwi kwenda kisimani,kupika chakula,kumruka au kukuruka miguu(ukiwa mwanaume)na kulala nae kitanda kimoja.

Kwa hili sababu ziko wazi kabisa, kipindi cha nyum
a kulikuwa hakuna vitu vya kuzuia damu isidondoke
 
Mwanamke anapokua priod hapotezi damu.Angalia vizuri ile inayotoka sio damu. ichunguze vizuri ikibidi ilambe kidogo utaona haina ladha ya damu
Na kile kitendo cha kutokwa na ile damu ndio muimariko afya yake sababu wao wao wameumbwa hivo.
 
Aisee ni kweli kabisa. Ila hiyo mbona tisa, kumi ni mwanaume akiwa kwenye siku zake...akiugusa mnazi tu, unanywea na kiwa km mchicha
 
Aisee ngoja nifanye kautafiti na mimi resonable reasons behind it!
 
hiyo ishu ni kweli ila inategemeana na wasichana nikiwa na maana wengine inatokea na wengine no
 
Back
Top Bottom