Haya ni maajabu kweli kweli....

Haya ni maajabu kweli kweli....

Hakuna kitu kama hicho ni hadithi tu za enzi hata wahindi wanaamini nafikiri zimetoka kwao pia wazungu walikuwa wanaamini hivyo lakini hamna ukweli ndani yake,
 
Bado tu tupo kwenye Imani za fununu ktk karne hii ya 21??
 
Nikirudi nyumbani nitmuuliza wife kwasasa simu yake haipatikani.
 
Ninacho jua kama mwanamme ametoka kutembea na mwanamke wa nje. akimgusa mtoto wake mchanga. basi mtoto lazima augue. ndio maana baathi ya wanawake wa Tanga akimuona mume kaingia tu anambwagia kichanga kama kumtesti kama ametest nje
 
Ninachojua kwamba ni real ni kwamba kama mwanamke akichukua damu ya hedhi akaifunga kwenye jani la mpapai wa kiume halafu akalianika mpaka likauke na ile damu. siku akisaga hilo jani na kulimwaga mlangoni kwake. mumewe akipita hapo mlangoni hawezi kutoka nje ya ndoa maishani tena kwani hata kama atakwenda nje haitasimama kamwe
 
Ninachojua kwamba ni real ni kwamba kama mwanamke akichukua damu ya hedhi akaifunga kwenye jani la mpapai wa kiume halafu akalianika mpaka likauke na ile damu. siku akisaga hilo jani na kulimwaga mlangoni kwake. mumewe akipita hapo mlangoni hawezi kutoka nje ya ndoa maishani tena kwani hata kama atakwenda nje haitasimama kamwe


Hebu peleka hii technolojia Dom maana nasikia duh!!!!
 
Ninachojua kwamba ni real ni kwamba kama mwanamke akichukua damu ya hedhi akaifunga kwenye jani la mpapai wa kiume halafu akalianika mpaka likauke na ile damu. siku akisaga hilo jani na kulimwaga mlangoni kwake. mumewe akipita hapo mlangoni hawezi kutoka nje ya ndoa maishani tena kwani hata kama atakwenda nje haitasimama kamwe

kama limbwata vile!
 
Ninachojua kwamba ni real ni kwamba kama mwanamke akichukua damu ya hedhi akaifunga kwenye jani la mpapai wa kiume halafu akalianika mpaka likauke na ile damu. siku akisaga hilo jani na kulimwaga mlangoni kwake. mumewe akipita hapo mlangoni hawezi kutoka nje ya ndoa maishani tena kwani hata kama atakwenda nje haitasimama kamwe

Duuuh!Hii nimeipendajeee!Cjui nimfanyie babe sheghele???
 
Ninachojua kwamba ni real ni kwamba kama mwanamke akichukua damu ya hedhi akaifunga kwenye jani la mpapai wa kiume halafu akalianika mpaka likauke na ile damu. siku akisaga hilo jani na kulimwaga mlangoni kwake. mumewe akipita hapo mlangoni hawezi kutoka nje ya ndoa maishani tena kwani hata kama atakwenda nje haitasimama kamwe
daaa afadhari wife hapitipiti huku...
 
Kuna mtu hapa JF aliwahi zungumzia uhusiano wa mtoto mdogo na nyoka kotokana na tafiti zilizofanywa na wanasayansi, nadhani huyu angeweza kutupatia jawabu la hii kitu, may be mwanamke akiwa katika hali hiyo kuna glands zinazotoa aina fulani ya signal or something of the like ambazo huathiri mimea iliyotajwa, nilipata kuona mmea fulani ukiugusa na kijiti au jiwe unabaki kama ulivyo, lakini ukiugusa na kidole au sehemu yoyote ya mwili, majani yake yanajifunga, anyway it is something to be studied scientifally

huo mmea unaitwa memosa huku kwetu upo. nilisoma habari zake nilipokuwa A-leval. ni mmea wa ajabu kwani unakula wadudu! mdudu akitua kwenye huo mmea hujifunga kisha kuna kemikali fulani humyeyusha huyo mdudu!
 
je ni kweli once mixed with foods can became slowly killing poison???
 
huo mmea unaitwa memosa huku kwetu upo. nilisoma habari zake nilipokuwa A-leval. ni mmea wa ajabu kwani unakula wadudu! mdudu akitua kwenye huo mmea hujifunga kisha kuna kemikali fulani humyeyusha huyo mdudu!

Naujua huu mmea kule kusini unaota maeneo ya mabwawa...
 
Back
Top Bottom