Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,493
- 12,453
Hivi Unajua kua mwanamke akiwa katika siku
zake(hedhi) akishika mmea wa
maboga,mchicha,na hata mmea wa nyanya basi
baada ya 24hrs mmea huo unakauka na kufa
kabisa?....mara baada ya kupata hii taarifa
nikawauliza wadada wapatao sita wote
wamesema ni kweli lakini wameshindwa kutoa
sababu ni kwa nini huwa hivyo?
Wadada wa jf na nyie toeni ushuhuda wenu....
Wataalam wa sayansi ya kizungu na ya kiswahili
tupeni utaalam wenu ni nini hasa sababu ya
hii kitu.......?
Kama hii kitu inaukweli basi ni Maajabu ya
Kumi y dunia...
zake(hedhi) akishika mmea wa
maboga,mchicha,na hata mmea wa nyanya basi
baada ya 24hrs mmea huo unakauka na kufa
kabisa?....mara baada ya kupata hii taarifa
nikawauliza wadada wapatao sita wote
wamesema ni kweli lakini wameshindwa kutoa
sababu ni kwa nini huwa hivyo?
Wadada wa jf na nyie toeni ushuhuda wenu....
Wataalam wa sayansi ya kizungu na ya kiswahili
tupeni utaalam wenu ni nini hasa sababu ya
hii kitu.......?
Kama hii kitu inaukweli basi ni Maajabu ya
Kumi y dunia...