Filipo Lubua
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 339
- 578
Nyingine si ndoa, ni ndoano
Mengine si mapenzi, ni ushenzi
Pengine, ni wizi, ubezi, ubazazi
Yakache, ya siku chache yasikuchache
Mwingine si upendo, ni utando
Mengine si asali, ni ajali
Ni utweza, poteza, lemeza
Tulia, pana nia pana njia
Mengine si furaha, ni karaha
Mengine si utamu, ni udamu
Ni fweza, uweza, uoza
Jikubali, usikubali kukubali
Sidhani yatuliza, yanaliza
Sidhani ni mapendo, ni uvundo
Si uhondo, ni ugando, kimondo
Usilie, yakimbie ujitue
© Filipo Lubua
23 Feb. 2013
Nduguye, yote uliyoyataja nilishayamaliza zamani sana. Kama wewe ndo bado uko huko pole sana na kazana. Mie niko ngazi nyingine za juu zaidi, na uandishi wa mashairi ndo fani yangu.Shule imekuwa ngumu hadi umeamua kutirirka na mistari! UE imekaba au fm 6 mock inakumbamba? Maana hapo ndiyo huwa chujio linatenganisha pure na impurity
Nyingine si ndoa, ni ndoano
Mengine si mapenzi, ni ushenzi
Pengine, ni wizi, ubezi, ubazazi
Yakache, ya siku chache yasikuchache
Mwingine si upendo, ni utando
Mengine si asali, ni ajali
Ni utweza, poteza, lemeza
Tulia, pana nia pana njia
Mengine si furaha, ni karaha
Mengine si utamu, ni udamu
Ni fweza, uweza, uoza
Jikubali, usikubali kukubali
Sidhani yatuliza, yanaliza
Sidhani ni mapendo, ni uvundo
Si uhondo, ni ugando, kimondo
Usilie, yakimbie ujitue
© Filipo Lubua
23 Feb. 2013
Ukitendwa lazima mashairi yakutoke kama maji bombani
Nduguye, yote uliyoyataja nilishayamaliza zamani sana. Kama wewe ndo bado uko huko pole sana na kazana. Mie niko ngazi nyingine za juu zaidi, na uandishi wa mashairi ndo fani yangu.
Nyingine si ndoa, ni ndoano
Mengine si mapenzi, ni ushenzi
Pengine, ni wizi, ubezi, ubazazi
Yakache, ya siku chache yasikuchache
Mwingine si upendo, ni utando
Mengine si asali, ni ajali
Ni utweza, poteza, lemeza
Tulia, pana nia pana njia
Mengine si furaha, ni karaha
Mengine si utamu, ni udamu
Ni fweza, uweza, uoza
Jikubali, usikubali kukubali
Sidhani yatuliza, yanaliza
Sidhani ni mapendo, ni uvundo
Si uhondo, ni ugando, kimondo
Usilie, yakimbie ujitue
© Filipo Lubua
23 Feb. 2013