Haya ndo mapenzi yalivyo au?

Haya ndo mapenzi yalivyo au?

Mim ni mama nliyepo kwenye ndoa ya Kikristo,sasa mume wangu anapenda niwe nasagwa halaf huyo msichana anayenisaga awe anatulala wote yaan mapenz ya watu watatu.,Kwa hali ya kawaida mume wangu ananipenda sana na anasema anataka tufanye hvyo ili mim mke wake niinjoy zaidi mapenz..plz nishaurini hii ni kitu cha kawaida kwel? Asanteni.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

ukikubali next time atakwambia mfanye kama huyu mzungu kwenye hii blog:

AIBU: WANAFUNZI KUMI NA MZUNGU MMOJA WALIVYOKAMATWA KATIKA NYUMBA MOJA WAKIFANYA MAPENZI NA MBWA HUKO KENYA | Mdodosaji
 
...ondoa hilo neno eti nyie ni wakristo, sema nyinyi ni wapagani au usitaje udini wenu otherwise wakristo hawako hivyo, kama maana ya neno ukristu linavyomaanisha......! Back to the point porn movie, story za vijiwen ndo madhara yake haya....! If u cant fight him, join him..
 
LARA1 UPO?
Hivi uliwahi kutuambia kuna rafiki yako Lecturer anamtaka Phd.kwahiyo anataka ushauri vipi alishamkubali au kumkataa tulitoa ushauri sana nakumbuka......

Unaauliza jibu? Chizi mwenyewe mpe buku 10 uone kama atakataaaa. Ndo wako wana date date kabla ya kujifunga pingu za maisha.
 
Unaauliza jibu? Chizi mwenyewe mpe buku 10 uone kama atakataaaa. Ndo wako wana date date kabla ya kujifunga pingu za maisha.
hapo kwenye nyekundu sijakuelewa kuna mtu unaongea nae kwenye simu huku unaandika meseji au? maanaka naona mana chizi mwenyewe,mara mpe buku 10 uona kama atakataaa,au wadau wengine wamekuelewa? kuna mtu kakuambia chizi,kuna mtu anaomba buku10?
 
mi nahc wewe huwa uridhk ndan ya tano kwa sita na ndio mana mumeo katoa wazo hilo...ushaur ni kama mwenyewe umeona ndo suluhu ya tatzo lako we kubali usagwe upate maraha zaid,halafu kaa ukijua mambo ya chumban hayaanikwi nje.
 
hapo kwenye nyekundu sijakuelewa kuna mtu unaongea nae kwenye simu huku unaandika meseji au? maanaka naona mana chizi mwenyewe,mara mpe buku 10 uona kama atakataaa,au wadau wengine wamekuelewa? kuna mtu kakuambia chizi,kuna mtu anaomba buku10?

si unajua wadada huwa wana uwezo wa ku multitask, multitasking imekwenda kombo kidoogo.
 
Mumeo atakuwa na pepo...akili ya mtu wa kawaida haiwezi waza hivyo.Kama hivyo ndoa mngefunga ya watu wa3,kwa kweli hiki ni kitu cha ajabu kati ya nilivyowahi visikia...akiendelea kukukazania ask for devorce huyo mume sio mtu mzuri au anapepo.piga magoti umuombee
 
...ayni nafsi ilikua inasita sana kufungua huu uzi... na nimebaki najutia kusoma nlicho somaa.. dah.. mambo mengine hata shetani atakana hayajui siku ya mwisho..!!!!!!!!!!!???????????...😛ray2:😛ray2:😛ray2:😛ray2:😛ray2:..mnnnhhh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom