Haya ndo mapenzi yalivyo au?

Haya ndo mapenzi yalivyo au?

Switone

Senior Member
Joined
May 9, 2013
Posts
120
Reaction score
47
Mim ni mama nliyepo kwenye ndoa ya Kikristo,sasa mume wangu anapenda niwe nasagwa halaf huyo msichana anayenisaga awe anatulala wote yaan mapenz ya watu watatu.,Kwa hali ya kawaida mume wangu ananipenda sana na anasema anataka tufanye hvyo ili mim mke wake niinjoy zaidi mapenz..plz nishaurini hii ni kitu cha kawaida kwel? Asanteni.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Nawe tafuta njemba miraba minne, halafu mwambie mumeo unapenda iwe inamla 0713...
Mwambie mapenzi ya namna hiyo ni matamu sana na yatadumisha upendo wenu...
 
mwambie unaomba huyo msagaji awe mwanaume aanze nae then aje kwako ndo unaenjoy zaidi
 
Cha kawaida ni kile unachoona wewe kinafaa na sio member wa JF; utapotea!

Ukikubali, next time itakuwa wanaume wawili na wewe. Mmeo akigeuzwa ilhali yeye akukulick. BTW, huyo mdada atamtafuta yeye? (Au ndio nyumba ndogo yake).
 
Nawe tafuta njemba miraba minne, halafu mwambie mumeo unapenda iwe inamla 0713...
Mwambie mapenzi ya namna hiyo ni matamu sana na yatadumisha upendo wenu...
kama ulikuwa kichwani kwangu aisee
 
mume wangu anapenda niwe nasagwa halaf huyo msichana anayenisaga awe anatulala wote yaan mapenz ya watu watatu.,Kwa hali ya kawaida mume wangu ananipenda sana na anasema anataka tufanye hvyo ili mim mke wake niinjoy zaidi mapenz..plz nishaurini hii ni kitu cha kawaida kwel? Asanteni.

Mkuu! hii story ni ya kweli au unataka kuwachangamsha wana JF!
 
Ni dhambi ndoa ya kikristo ni mume mmoja na mke mmoja mkishiriki tendo la ndoa kama wanandoa na si vinginevyo tena Mungu hajaruhurusu usagaj pole sana omba kwa aajil ya mumeo, na ukikubal kufanya hivyo utakuwa unazini furaha haitafutwi kwa kufanya madhabi simama imaraM
 
Lo!
Kuna mambo duniani yanashangaza kweli kweli.
Pole sana mmama kwa tatizo hilo.
Mi nakushauri kumwona mchungaji ili akushauri wewe kwanza kabla ya kumshauri mmeo.
 
Mim ni mama nliyepo kwenye ndoa ya Kikristo,sasa mume wangu anapenda niwe nasagwa halaf huyo msichana anayenisaga awe anatulala wote yaan mapenz ya watu watatu.,Kwa hali ya kawaida mume wangu ananipenda sana na anasema anataka tufanye hvyo ili mim mke wake niinjoy zaidi mapenz..plz nishaurini hii ni kitu cha kawaida kwel? Asanteni.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Huyo mumeo soon atakuambia naye awe anagegedwa ili apate raha zaidi, na mgegedaji wake aje alale na nyie wote threesome
 
Cha kawaida ni kile unachoona wewe kinafaa na sio member wa JF; utapotea!

Ukikubali, next time itakuwa wanaume wawili na wewe. Mmeo akigeuzwa ilhali yeye akukulick. BTW, huyo mdada atamtafuta yeye? (Au ndio nyumba ndogo yake).
ahahaaa dunia hii ndo maana hata yesu hataki kurudi ujue
 
TOBAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Kweli hizi ni nyakati za mwishoooooo! Yale ya firauni yameanza kutimia! Kiranga yale uliosema jana ya 3some yanatimia huku!

NASEMA HVI KAMA NDOA NDO HIZI BADO NIPO NIPO SANAAAAAAAAAA!
 
Last edited by a moderator:
TOBAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Kweli hizi ni nyakati za mwishoooooo! Yale ya firauni yameanza kutimia! Kiranga yale uliosema jana ya 3some yanatimia huku!

NASEMA HVI KAMA NDOA NDO HIZI BADO NIPO NIPO SANAAAAAAAAAA!
next time ataambiwa yeye ndo amsage mwenzake
bora tukae zetu kimpango wetu lara ila tuzae tu watoto wetu wawili
 
ahahaaa dunia hii ndo maana hata yesu hataki kurudi ujue

Yaani devil kaishikilia dunia mpaka basi yaani. Ushawishi wake una mvuto na udanganyifu unaopumbaza, kama unabisha subiri comment ya kaka yangu wa kambo mzabzab.
 
Last edited by a moderator:
Ni kam masihara but ni real situation iliyonitokea,Huyo mwanamke ni mim mwenyew nimchague..

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Nawe tafuta njemba miraba minne, halafu mwambie mumeo unapenda iwe inamla 0713...
Mwambie mapenzi ya namna hiyo ni matamu sana na yatadumisha upendo wenu...
Yaani hii ndiyo DAWA maalumu ya huyo bazazi.
 
Yaani devil kaishikilia dunia mpaka basi yaani. Ushawishi wake una mvuto na udanganyifu unaopumbaza, kama unabisha subiri comment ya kaka yangu wa kambo mzabzab.
ahahaaaa dah kazi ipo .huyu mwanaume ni muhuni kupindukia...akitoka hapo atasema tigo tamu ..yaani ndo safari ya ufirauni inaanzia hapo
 
Nimemueleza sipendi kabis hiko kitu wala kukisikia,Kanielewa but huwa anakumbushia.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom