Nini cha ajabu au umeingiwa na Wivu, SUBIRI DR SLAA aingie ukione cha moto, hivi unajua atimbwili la Makao Makuu Chadema linaloendelea akilazimisha kumtafutia Mke wake nafasi ya Lazima katika Uongozi. Unajua maana ya Moshi? Mungu Onyesha Sehemu Hela Ilipo, ukiona mtu kaukimbia msikiti au kanisa basi ujue ni kimeo, sema hujui tu. Ina maana Benson Kigaila na wewe Zitto Kabwe mmeshindwa kabisa kuwang'oa Mbowe na Slaa ili chama kiongozwe na mawazo mbadala? Unaona wanazidi kuongezeka tu, kimeingia kimeo kingine Nasari na walivyo na mbinu kali wamechukua jembe letu Mdee kwa mbinu ya mapenzi na matokeo yake amewakimbia kifikra, sera ya ajimbo Zitto utaumia Kigoma, Singo usilale utaumia Dodoma, Shibuda Maswa wanakujua wewe hawamjui Slaa wala Mbowe, TUKULIWA KUNUMA GETE BAGESI BATANDULAGE
hata mimi na-log off mpaka baadae au kesho!akipenda sana jiving wakati huo tanga sec.
Unaifahamu??
slow down bro!Hivi huyu jamaa ujana wake alikuaje.
Huyu Mr Dhaifu ana matatizo sana,sijui kwanani watanzania walidanganyika kukubali kurazao zichakachuliwe na huyu kilema wa ubongo.Ngono tu ndio anayujua iala si shida za wananchi
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
tuwe na heshima kwa wakubwa zetu,huyu ni Mh Rais si vyema kutumia maneno yakuudhi ktk kueleza jambo hata kama hukubariani nae ni sawa na mzazi wakoNi fedheha sana watanzania kuongozwa na kirusi JKilaza.
Ni fedheha sana watanzania kuongozwa na kirusi JKilaza.
Hivi huyu jamaa ujana wake alikuaje.
tuwe na heshima kwa wakubwa zetu,huyu ni Mh Rais si vyema kutumia maneno yakuudhi ktk kueleza jambo hata kama hukubariani nae ni sawa na mzazi wako
tutofautiane kwa hoja lakini si kutukanana
heshima mbele jamani