tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,490
Moto mkubwa uliowaka usiku wa kuamkia leo umeteketeza ghala la Tume ya Uchaguzi ya DR Congo (CENI) Kinshasa, na kuharibu vifaa vilivyokuwa vitumike katika uchaguzi mkuu wa Disemba 23, 2018. Uchaguzi huo unahofiwa kuwa na vurugu, kutokana na mgororo kati chama tawala na upinzani.