HAYA ndiyo MANENO hatari TANZANIA...

HAYA ndiyo MANENO hatari TANZANIA...

"...Hatuwezi kuahirisha Bunge, ...labda kama ajali hii (ya kuzama kwa meli) ingekuwa imetokea maeneo ya Chamwino (Dodoma)..." - Anne Makinda.

Spika inaonyesha hajui mipaka ya bahari, kwa huo ufafanuzi wake ina maanisha Dodoma kuna bahari.
 
Hakuna kuchukua NSSF, NPF au PPF mpaka utimize miaka 60.
 
Pamoja na majibu mazuri na ya kina ya mheshimiwa . . . Halafu anauliza Swali . . . Kweli kazi ipo
 
Hatukutupuki tumejipanga na tuko kwenye mchakato wa kuondoa hizo kero
 
Katibu MKUU wa Baraza KUU na Udhibiti MKUU wa halmashauri KUU ya sekreteliet KUU na baraza KUU. Na Mjumbe MKUU pia Ni Mbunge wa MKUU ROMBO na Mke wake ni wa Mbagara KUU. Pia Anakunywa maji ya Ruaha MKUU......
 
Katibu MKUU wa Baraza KUU na Udhibiti MKUU wa halmashauri KUU ya sekreteliet KUU na baraza KUU. Na Mjumbe MKUU pia Ni Mbunge wa MKUU ROMBO na Mke wake ni wa Mbagara KUU. Pia Anakunywa maji ya Ruaha MKUU......
..na anapenda kuonana na MKUU kila ijumaa KUU...hehehee...umetisha MKUU..!!
 
Haki ya nani JF unaweza kucheka hadi mbavu zikakuuma. Aisee!!
 
Suala hili lipo mahakamani tusiingilie uhuru wa mahakama
 
Maneno mengine hatari ni 1.SWALA LAKO LIPO KWENYE MCHAKATO. 2.TUTA KUTAARIFU
 
Katibu MKUU wa Baraza KUU na Udhibiti MKUU wa halmashauri KUU ya sekreteliet KUU na baraza KUU. Na Mjumbe MKUU pia Ni Mbunge wa MKUU ROMBO na Mke wake ni wa Mbagara KUU. Pia Anakunywa maji ya Ruaha MKUU......

mistarii !
 
siwezi semama lolote sababu hilo swala halijafika mezani kwangu.....
 
1. Mpango kabambe.
2.Serikali iko mbioni.
3. Serikali sikivu ya chama cha mapinduzi.
4. Suala hili liko mahakamani
5.Uchunguzi bado unaendelea ili kubaini...
6.Serikali imeanza kuchukua hatua.
 
"..napenda kuwashukuru wananchi wa Kigamboni kwa uvumilivu wao..."
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom