HAYA ndiyo MANENO hatari TANZANIA...

Taarifa ya kiintelijensia.... hamna lolote mostly IGP ndio alikuwa anatumia siku hizi kaacha baada ya kusemwa sana na wanaharakati
 
"Kwa upole zaidi naiomba Serikali yetu sikivu"- Wabunge Chama tawala.
"Kaa chini,usitafute umaarufu"- Makinda and her goons (Ndungai & Mabumba)
"Kutumia kichwa kufugia nywele na sio kufikiri"-AG Werema
"Sergeant at Arms,mtoe mpaka nje ya geti kuu" -Ndungai & Mabumba.
 
"... wakati wakinyang'anyana bunduki na askari, kwa bahati mbaya risasi moja ikafyatuka na ikampata marehemu kichwani"

Meli ILIWEZA kuzama au nyumba ILIWEZA kuteketea na
Watu kadhaa WALIWEZA kufa.
 
sasa imekuwa kama misemo mbalimbali ya kiswahili ndio ya kujitetea pale tunapokuwa tumebanwa,lkn tubadilike twende na wakati hizo zama zimeshapita,tusijejikuta tunaishia kubaya.Mungu ibariki tanzania
 
Tuko kwenye mchakato,
tunaongea na wafadhili,
tuviachie vyombo husika vitalishughulikia,
Hatuna USHAHIDI wa kutosha,
TUMEUNDA TUME TUIACHIE IFANYE KAZI YAKE
 
"...Hatuwezi kuahirisha Bunge, ...labda kama ajali hii (ya kuzama kwa meli) ingekuwa imetokea maeneo ya Chamwino (Dodoma)..." - Anne Makinda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom