Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,111
- 18,327
Sitaelezea kwa undani lakini pamoja na nguvu ya dola CCM wenyewe wanajua hali si shwari.
Zaidi sana kuna mambo ambayo hawajui yanafuta nyaso zao za mambo makubwa ambayo wameyafanya kwa wananchi.
Mambo hayo ni kama yafuatayo kulingana na tabutupu media group (TMG)
1. Ukatili wa baadhi ya Wakuu wa Wilaya na mikoa juu ya Wananchi wasio na hatia.
2. Ubaguzi wa wazi kisiasa
3. Kauli za viburi na majigambo kwa baadhi ya viongozi
4. Mishahara ya wafanyakazi kuzimia toka 2015 bila kuamka hadi leo
5. Unyanyasaji wa TRA
6. Rushwa ya kununua viongozi wa upinzani.
7. Wizi wa kura serikali za mitaaa.
8. Hali mbaya ya maisha
9. Kutoajiri walimu graduates hasa masomo ya sanaa.
10. Mafao kuchelewa.
Zaidi sana kuna mambo ambayo hawajui yanafuta nyaso zao za mambo makubwa ambayo wameyafanya kwa wananchi.
Mambo hayo ni kama yafuatayo kulingana na tabutupu media group (TMG)
1. Ukatili wa baadhi ya Wakuu wa Wilaya na mikoa juu ya Wananchi wasio na hatia.
2. Ubaguzi wa wazi kisiasa
3. Kauli za viburi na majigambo kwa baadhi ya viongozi
4. Mishahara ya wafanyakazi kuzimia toka 2015 bila kuamka hadi leo
5. Unyanyasaji wa TRA
6. Rushwa ya kununua viongozi wa upinzani.
7. Wizi wa kura serikali za mitaaa.
8. Hali mbaya ya maisha
9. Kutoajiri walimu graduates hasa masomo ya sanaa.
10. Mafao kuchelewa.