Ngaliba Dume
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,710
- 3,669
Hii picha inasema mambo mengi sana,hapo mbele anaonekana yupo January Makamba(Waziri wa Mazingira) akijibu hoja juu ya kuidhinishwa kwa Mkataba wa kutunza Mazingira.
Lakini nyuma yake,sehemu kubwa ya mawaziri na wabunge wapo "busy" na story zao,kila mtu yupo na lake,tena huu ni upande wa mawaziri,lakini kwa mbali wanaonekana wabunge kama kina Ritha Kabati ambao wanaonekana wamehamia huu upande ili kupiga soga tu.Pembeni ya Kabati yupo nadhani mbunge wa viti maalumu Kagera,anajipiga "selfie"
Hii ni tafsiri ya haraka kuwa hii mambo ya kutokuwa na bunge "Live" linawafanya watu wakae bungeni kupiga soga tu