Kabisa mkuu sema kikubwa ni kupambana na maisha wale tunaishi nao tu ila sio mwenzetu!Mapenzi yana changamoto sana!!!
Mambo mazito sanaKuna wakati unaamua kuacha kuhangaika unaamua kutulia na mpenzi mmoja na kuwa muaminifu. Unakuwa committed kwake kwa kila kitu, ila sasa unakuta mpenzi uliyenae hajatulia anachepuka tu, hii inauma sana.
Unaona ni bora tu uendelee kuhangaika tu hamna namna.
Au akiona mapenzi hayaendi ayaache halafu aende yeye.Ukiona yanazidi kukupelekesha yaache yatangulie,fanya mambo mengine
Kuna wakati unaamua kuacha kuhangaika unaamua kutulia na mpenzi mmoja na kuwa muaminifu. Unakuwa committed kwake kwa kila kitu, ila sasa unakuta mpenzi uliyenae hajatulia anachepuka tu, hii inauma sana.
Unaona ni bora tu uendelee kuhangaika tu hamna namna.
Mapenzi ya watu wawili pagumu apo rabda ubaki peke yakoTafuta KE mwingine Mkuu, pole sana.