Haya mapenzi basi

Kama bado unampenda usimwache wanaume sisi ni walewale tu pigania penz lako mpaka hatua ya mwsho one day changamoto zitaisha na atadhamin uwepo wako kwakuwa mvumilvu
Hakuna mkamilifu utaumizwa tena uendako
Wanaume hawabadiliki kirahisi, achukue hamsini zake mapema kabla ya kujutia kupoteza muda
 
Nanukuu
"...nikifikiria kumuacha ananifanyia jambo zuri nasahau mawazo ya kumuwacha,najikuta najiona mjinga.."

No offence meant,ila ndivyo ilivyo.
 
Hahaaaaaa lol hii kweli kali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…