Kama bado unampenda usimwache wanaume sisi ni walewale tu pigania penz lako mpaka hatua ya mwsho one day changamoto zitaisha na atadhamin uwepo wako kwakuwa mvumilvu
Hakuna mkamilifu utaumizwa tena uendako
Hawajuagi wanachokitaka hawa. Kesho akipata lijamaa la kumdunda atakuja hapa kuomba ushauri jinsi ya kumpata mpenzi wake wa zamani ambae keshaoa. Kwa mtindo huu nyumba ndogo haziishi ng'o
Kama bado unampenda usimwache wanaume sisi ni walewale tu pigania penz lako mpaka hatua ya mwsho one day changamoto zitaisha na atadhamin uwepo wako kwakuwa mvumilvu
Hakuna mkamilifu utaumizwa tena uendako[/QUOTE
sasa ungefunguka tatizo ni nini ili usaidiwe, maana hapa tunahisi-hisi tu, au kuna mtu anakujua tu
Dont care, simu hadi nianze mimi,
anafikiri pesa ndo kila kitu kwa mwanamke"
Mapenzi basi ? Huwezi !!
Kama si mapenzi usingezaliwa wewe kwa sababu mzazi wako hakubakwa. Alichapwa lugha akakubali mwenyewe kaachia sukari ikakombwa.