Haya mambo yasikie tu

aliyeelewa atafsiri
Huyo dada alipata ajali akafariki akiwa mjamzito wa miezi 8, bahati nzuri mtoto alipona, sasa baba mtu alirudi zile zile sehemu alikopiga picha na mama wa mtoto wakati wa ujauzito na kupiga picha na hicho kitoto ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…