LebronWade
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,615
- 1,504
but as believe kwamba yupo mkuu
Unaamini yupo,kama yupo by associate na negation unaamini Shetani pia yupo?....Kama Shetani pia yupo,wote wawili wapo na inavyoonesha kwa ugomvi wao,wote karibia wana nguvu na uwezo sawa,utabisha najua.....na kama Mungu huyo huyo ndie kamuumba huyo Shetani,inakuaje leo kinyago alichokichonga yeye kimtishie tena?.....wewe mwanadamu mungu kakuumba,hukumuomba akuumbe,kaamua mwenyewe,kakuleta yeye..hukua na kosa lolote...kwa jinsi mungu wako alivyo careless kajenga na lishetani lije likurubuni ili akuchome moto milele...kwahiyo kwa kifupi Mungu ndie source of all these evils.The bad guy hapa ni Mungu.Yeye ndie kajenga vyote hivyo.Wa kumlaumu ni yeye,hawezi kwepa hizi lawama.