Ruyama
JF-Expert Member
- Sep 6, 2019
- 367
- 561
1. Leo nimepigiwa number ngeni nikapokea akajitambulisha mdada nikamkumbuka, alikuwa mpenzi wa marehemu kaka yangu walipotezana tokea 2013 kaka yangu alifariki 2016 kumbe kipindi wako kwenye mahusiano kaka aliandika number yangu kwenye diary ya huyo mpenzi wake sasa leo ananipigia na kuniuliza habari yako sikumjua kumuuliza akasema wewe si mdogo wake na fulani naomba number zake, ilibidi nimwambie kaka alifariki kitambo alishituka mno na kulia akakata simu.
Sikutaka kumpigia cause marehemu kaka alinisimuliaga alijitolea kumsomesha mdogo wake mwishoni huyo shemeji akampiga chini kaka kuanzia hapo alikuwa mtu wa stress mno baada ya kuachana.
2.Juzi nipo na mke wangu tumekaa nikaona mtu ananipungia alikuwa amekaa na mtoto mdogo, ikabidi nimfuate kumuona hivii alikuwa ni girlfriend wangu baada ya kumaliza A-level tulikuja kupotezana baada ya mimi kwenda chuo sasa akaolewa ile juzi tunazungumza aisee ilikuwa ni miujiza tokea 2006 hadi leo 2021 ila yeye ameolewa na mimi nimeoa, hii maana yake nini haya matukio mawili?
Sikutaka kumpigia cause marehemu kaka alinisimuliaga alijitolea kumsomesha mdogo wake mwishoni huyo shemeji akampiga chini kaka kuanzia hapo alikuwa mtu wa stress mno baada ya kuachana.
2.Juzi nipo na mke wangu tumekaa nikaona mtu ananipungia alikuwa amekaa na mtoto mdogo, ikabidi nimfuate kumuona hivii alikuwa ni girlfriend wangu baada ya kumaliza A-level tulikuja kupotezana baada ya mimi kwenda chuo sasa akaolewa ile juzi tunazungumza aisee ilikuwa ni miujiza tokea 2006 hadi leo 2021 ila yeye ameolewa na mimi nimeoa, hii maana yake nini haya matukio mawili?