Yani utafikiri ni watoto wa chekecheaKama ni kwa mikakati hii basi tutegemee kuona anguko kubwa sana la CCM B
Wa kipuuzi mnoisije ikawa na hii post ikawa mkakati wao?
Ni wajinga wa kiwango cha lami
Nakubaliana na wewe Mkuu. Ila kwa mkakati huu,ni bora hiki chama/kikundi kiongozwe na watoto wa darasa la Pili B maana mawazo ni sawa na watoto wa darasa la pili BNyani haoni kundule.
Vyama vyote vya siasa ndio mpo hivyo.
Walio nje ndio wanaona.
Ndipo mnapopotezwa hapo tu bavichaKama ni kwa mikakati hii basi tutegemee kuona anguko kubwa sana la CCM B
Kama ni hivyo basi ndiyo inadhihirisha ujuha wao.isije ikawa na hii post ikawa mkakati wao?
Huu udukuzi noma
Mkuu relax na uwe mpole. Unafikiri kwenye hilo genge lenu hakuna rafiki zetu?Ziko program za kugushi mazungumzo ya watsup dizain hiyo so we endelea kuwakusanya na kuwasomba hao nyumbu wenzako
We ni mmoja wa manyumbu ila naona unaona aibu kujiweka wazi kuwa ni mwana saccos ya wachagga hahhha hii inatokana na ule uchumia tumbo wa makamanda wenu waliompokea mtu waliyemtukana miaka nenda rudi kuwa ni fisadi ila akawa mzuri ghafla kwasababu ya kupokea hela zake.hongera sana kwa kuitambua hiyo aibu mkuuMkuu relax na uwe mpole. Unafikiri kwenye hilo genge lenu hakuna rafiki zetu?
Unafikiri kila kiongozi aliyemo humo anapenda huo usanii wa kitoto mnaofanya?
Hizi taarifa zimesambazwa na viongozi wenu ambao wapo mule kwa manufaa ya matumbo yao.
Hizi charting sio editing Mkuu. Zimetoka Moja kwa Moja kutoka kwenye genge lenu na kupelekwa kwenye makundi kadha wa kadha ya whatsapp. Nilitaka kuanza siasa kwa kujiungs na ACT ila kwa hii mipango ya kitoto ni bora niendelee kuwa mgombea huru 2020.
Sijaona chama cha upinzani chenye nia ya dhati ya kuikomboa Tz kutoka kwenye mikono ya ccm. Kila chama kinachoanzishwa ni mahususi kwa ajili ya matumbo ya wachache. Mkuu ukibishana na Mimi nitaendelea kuleta mazungumzo yenu zaidi hapa. Mm nilidhani ACT ndo kitakuja kuwa na dhamira ya kweli,kumbe Yale Yale tu. Tena kwa mikakati yenu hiyo mtakimbiwa kila Mara.We ni mmoja wa manyumbu ila naona unaona aibu kujiweka wazi kuwa ni mwana saccos ya wachagga hahhha hii inatokana na ule uchumia tumbo wa makamanda wenu waliompokea mtu waliyemtukana miaka nenda rudi kuwa ni fisadi ila akawa mzuri ghafla kwasababu ya kupokea hela zake.hongera sana kwa kuitambua hiyo aibu mkuu