Halafu wabongo wengi wana herd mentality ukichanganya na kuwa inconsiderate, watakushangaa tu wewe vipi? Sasa kwa nini hutaki kuonekana jina, kwani unaiba hapa?Jamii yetu iko judgemental sana hususan kwenye baadhi ya mambo kama haya ya michango.
Mtu kama mimi napenda kusaidia watu wanapohitaji msaada lakini napenda kufanya hivyo kimya kimya bila kujulikana.
Ukilazimisha niweke jina, nasepa.
Si ajabu wapo watu wengine kama mimi ambao labda wangependa kuwa wachangiaji lakini hawachangii kutokana na kutokuweza kubakia anonymous.
And that's how it should be.🤣.
I’m not sure if I’m weird, selfish, different, or a little bit of everything, ila mimi sipo kwenye group hata moja!
Best option kwa sasa ni M-koba. Mnatupiamo humo kila MTU anaona, mnatengeza katiba ya kipi kinakuwa covered na Kipi kinapotezewa. Thenlikitokea Jambo pesa itatolewa kila.mtu anaona, so inaepusha kuweka mikeka kila Jambo likitokea. Noma Zipo sema wengi hakuna trust nazo kutokana na milolongo Yao hasa pale Jambo linapotokea.Hata kama si fraud.
Mimi labda naamini sana watu kwenye misiba, sasa fraud inakujaje?.
Mtu anamuua mzazi ili mumchangie? Watu wanaenda kumkabidhi mfiwa rambirambi kwenye msiba, ina maana mfiwa ana fake msiba ili apewe rambirambi au fraud inakuwaje hapo?
Kwangu suala la fraud silioni sana.
Ila, hata kama si fraud, tujitengenezee utamaduni mwingine wa kujiwekea akiba na kujitosheleza wenyewe bila kuchangishanachangishana kila inapotokea msiba.
Kuna watu wengine sio big deal, kuna watu wengine mnawaumiza kwa michango ya kila mara. Hata ikiwa michango ni ya hiyari, kwenye macho ya wengi watu wanaona haya.
Pia, mimi nina allergy na vimichangomichango ya kila mara, inabidi watu wawe na fund ya kutoa pesa haraka hata kama inahitajika kwa dharula. Sasa hivi vimichango mpaka watu watafutane, wafukuzane, wahimizane, tarehe zikiwa mbaya mpaka wasubiri mwisho wa mwezi, karaha tupu.
Afadhali hata kuchanga kwenye mfuko kwa mwaka mzima. Halafu misiba ikitokea mna fixed amount mnaweza kutoa kwa kila member.
Mfuko kama huu utaondoa matatizo kama ya mtu kuchangia wengine na kutochangia wengine, jambo ambalo mara nyingine linaleta mgawanyiko.
Hivi kwa nini watu kama wa bima wasichangamkie watu kukata bima ya maisha? Kuna bima mpaka za vikundi, hivi vikundi vya shule havijui hii bima? Au hizi bima zina matatizo ambayo mimi ndiye siyajui?
Au ndiyo utamaduni wetu kuchangishana watu wajione wako pamoja? Maana kuna jamaa yangu mmoja alikataa kuchangiwa harusi, akasema kama kuna mtu anataka kuchangia harusi yake achangie kijiji cha Wamasai wapate maji, kwa ni nzuri tu asiwape watu mzigo wa kuchanga.
Lakini, kikichotokea ni kwamba, kuna watu walimsema kuwa anaringa na anajiona anaweza kumaliza gharama za harusi yake peke yake bila ya kuwapa watu nafasi ya kuchangia.
Wamakonde walisema "Ukichimama.nchale, ukikimbia nchale".
Ukichangisha lawama. Usipochangisha lawama.
Tena wengine huandaa na vikao kabisa eti mkeo anakuaga kwenda kwenye kikao cha classmates ambapo wengi wao huishia kuliwa tu huko na vijamaa vyao walivyosoma navyoTuliomaliza shule wakati magroup ya whatsapp hayajaanza tulibadilishana mawasiliano tu..baadae teknolojia ikatukutanisha kwa sura zetu pichani na wengine hawaweki nyuso zao isipokuwa avatar au picha za wanawe nakadhalika. Kazi inakuwa na maswali pale lnapokuwa hamuonani na mnaanzisha group la malengo ya kusaidiana katika shida....
Michango inaanzishwa na mmoja anampoteza mazazi mnachangia kwa masikitiko makubwa japo hamujui ni kwa moyo wa kibinaadam na kuwiwa tu mnachangia 30k kila mmoja wengine hadi 50k
Kuna kitu nakiwaza tofauti japo si kwa nia mbaya kwamba baada ya miaka zaidi ya 10 mnauhakika gani hiyo.michango sio fraud? N muda mrefu na pesa ni mwanaharamu
Tell me you a whatsapp school group admin without telling me you are a whatsapp school group admin🤣🤣Ikiwa upo well financial stable
Usiogope kutoa doesn't matter ni Fraud au real.
Nilitaka niseme hili piaMambo mengine ni ya hiyari chukua hatua usilalamike
Mkuu,Tena wengine huandaa na vikao kabisa eti mkeo anakuaga kwenda kwenye kikao cha classmates ambapo wengi wao huishia kuliwa tu huko na vijamaa vyao walivyosoma navyo
Mtaani kwangu kuna utaratibu kila nyumba sh 1000 anspotutoka kwana mtaa awe mtoto nk.Mkuu,
Hakuna hiyari ikiwa kuna kiranja ana ki Excel spreadsheet anahesabu nani kachangia mara ngapi. Huo ni mfumo wa nipe nikupe tu.
Yani hata ukisema mimi sichangi, we have to do better, unakuwa unahesabiwa mchawi hutaki kuchangia watu. You become a social outcast.
Sasa hapo hiyari iko wapi?
Hiyari yenye social cost si hiyari hiyo.
Mimi bora hata uniambie kuna mfuko wa kuchangia kwa mwaka naweza kuwa mwepesi kuliko hivi vimichango vya ad hoc naviona viko kushoto kweli. Ingawa nachangia kwa kiasi changu bado.
Yani naona ni kama alama ya umasikini najiingiza humo.
Mambo ya Life Insurance ndiyo tushaona uchuro au watu wa Insurance wanakosea sehemu? Nasikia kuna mpaka group life insurance siku hizi.Mtaani kwangu kuna utaratibu kila nyumba sh 1000 anspotutoka kwana mtaa awe mtoto nk.
Book sio ishu sana. Ila wanaume wanakitabu tsh 20000 sasa hapa naona kuna upigaji.
Mtaa una nyumba 1000 kila kichwa sh 20000 huu sio mradi kweli? Sh 20.000.000/= tu assume wametoa wanaume 500 bado 10M ni pesa nyingi sana
Bora hata ingekuwa kila mwanaume sh 500 kwa wanaume 100 ni 50.000/=
Aisee 🤣🤣Shekhe adriz
Mawazo ya kimaskini... Mostly, mtu mwenye unafuu wa kipato huwa hawezi lalama akifanya CHARITY ACTIVITIES..Tuliomaliza shule wakati magroup ya whatsapp hayajaanza tulibadilishana mawasiliano tu..baadae teknolojia ikatukutanisha kwa sura zetu pichani na wengine hawaweki nyuso zao isipokuwa avatar au picha za wanawe nakadhalika. Kazi inakuwa na maswali pale lnapokuwa hamuonani na mnaanzisha group la malengo ya kusaidiana katika shida....
Michango inaanzishwa na mmoja anampoteza mazazi mnachangia kwa masikitiko makubwa japo hamujui ni kwa moyo wa kibinaadam na kuwiwa tu mnachangia 30k kila mmoja wengine hadi 50k
Kuna kitu nakiwaza tofauti japo si kwa nia mbaya kwamba baada ya miaka zaidi ya 10 mnauhakika gani hiyo.michango sio fraud? N muda mrefu na pesa ni mwanaharamu
Wengine wapigaji, wengine sio wapigajiTuliomaliza shule wakati magroup ya whatsapp hayajaanza tulibadilishana mawasiliano tu..baadae teknolojia ikatukutanisha kwa sura zetu pichani na wengine hawaweki nyuso zao isipokuwa avatar au picha za wanawe nakadhalika. Kazi inakuwa na maswali pale lnapokuwa hamuonani na mnaanzisha group la malengo ya kusaidiana katika shida....
Michango inaanzishwa na mmoja anampoteza mazazi mnachangia kwa masikitiko makubwa japo hamujui ni kwa moyo wa kibinaadam na kuwiwa tu mnachangia 30k kila mmoja wengine hadi 50k
Kuna kitu nakiwaza tofauti japo si kwa nia mbaya kwamba baada ya miaka zaidi ya 10 mnauhakika gani hiyo.michango sio fraud? N muda mrefu na pesa ni mwanaharamu