GE2025 Haya magari waliyopewa Wagombea Urais pamoja na madereva yanakuja na mafuta yake? Au hela ya mafuta inatoka kwenye fundraising?

GE2025 Haya magari waliyopewa Wagombea Urais pamoja na madereva yanakuja na mafuta yake? Au hela ya mafuta inatoka kwenye fundraising?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mtanke

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
804
Reaction score
2,059
Ukiacha CCM vyama vingine vilivyobaki hata ungewapa wagombea Urais wake IST ya bure bado kuijaza mafuta wazunguke japo mkoa mdogo kama Dar kwa ajili ya kampeni wasingeweza kutokana na hali zao za kiuchumi.

Sasa mtu kapewa V8 na dereva ili azunguke nchi nzima kupiga kampeni swali langu ni je hayo magari bajeti ya mafuta ni juu ya tume ya Taifa ya Uchaguzi au ile fundraising ya bil 86 na nyinginezo ndio za kujaza haya magari mafuta ionekane tuna kampeni za maana!?

Huyo mtoa mafuta atajilipaje? Ana maslahi gani? Au ni miongoni mwa wagombea ameamua kujitengenezea wapinzani kwa mlango wa nyuma?

Mwaka huu tuna sanaa ya siasa zaidi kwenye uchaguzi wetu kuliko sayansi ya siasa.
 
Njoo Kawe mama ana jambo lake!! Chuki za nini wewe au Mpina nyuma ya keyboard?
 
Ukiacha CCM vyama vingine vilivyobaki hata ungewapa wagombea Urais wake IST ya bure bado kuijaza mafuta wazunguke japo mkoa mdogo kama Dar kwa ajili ya kampeni wasingeweza kutokana na hali zao za kiuchumi.

Sasa mtu kapewa V8 na dereva ili azunguke nchi nzima kupiga kampeni swali langu ni je hayo magari bajeti ya mafuta ni juu ya tume ya Taifa ya Uchaguzi au ile fundraising ya bil 86 na nyinginezo ndio za kujaza haya magari mafuta ionekane tuna kampeni za maana!?

Huyo mtoa mafuta atajilipaje? Ana maslahi gani? Au ni miongoni mwa wagombea ameamua kujitengenezea wapinzani kwa mlango wa nyuma?

Mwaka huu tuna sanaa ya siasa zaidi kwenye uchaguzi wetu kuliko sayansi ya siasa.
1. Magari hayo yamefungwa vifaa vya kuwafuatilia mienendo wagombea na taarifa kurushwa kusiko. Kama wanafikiri wanaweza kuongea chochote ndani ya hizo gari kilicho hasi kama damu haitamtoka puani.
2. Dereva wa mgombea katolewa na tume kwa hiyo kila mgombea anachokifanya kitawafikia tume kama maswahiba wa watawala.
3. Sythesized corruption to compromise a bold stance by some firm political candidates
 
Back
Top Bottom