Semeni Kuna kifurushi gani Cha ajabu..? Mi nikiangalia sioni cha ajabu najua kabisa kuna baadhi ya wateja wao wametuweka kwenye kitengo Cha MUFILISI!!😂naona wameamua kutafuta wateja wa internet sasa
wamepunguza bei..elfu kumi unapata gb 6 kwa mwezi.elfu tatu gb2 kwa wiki..2500 gb3 kwa siku tatu...tofauti na bei zao za zaman..hapo kama mtu wa insta.whatsap na jf na youtube kidogo kwa hizo mb zinatosha saana..na ukizingatia hawa jamaa spidi yao nzuri sana..Semeni Kuna kifurushi gani Cha ajabu..? Mi nikiangalia sioni cha ajabu najua kabisa kuna baadhi ya wateja wao wametuweka kwenye kitengo Cha MUFILISI!!😂
buku dakika 70 bado una ugomvi nao?ugomvi wangu na voda ni kwenye dakika za mitandao yote ila kwengine kawaida
Hazitoshi bado! Voda ninachowaelewa ni kuwa Hawa jamaa hawanaga longolongo wapo quality na hata wateja wao wanataka quality sio wanaoogopa kutumia hela!! Mkuu Kama pakikushinda njoo halotel voda huwa naigusagusa tu mi sifanyi kazi idara za helahela ila napenda huduma zao😂😂wamepunguza bei..elfu kumi unapata gb 6 kwa mwezi.elfu tatu gb2 kwa wiki..2500 gb3 kwa siku tatu...tofauti na bei zao za zaman..hapo kama mtu wa insta.whatsap na jf na youtube kidogo kwa hizo mb zinatosha saana..na ukizingatia hawa jamaa spidi yao nzuri sana..
Wako hivyo,wakiona unafaidi Sana wanakutoa,,dawa yao wakikutoa iweke pending line yao miezi mitatu bila kuweka salio ili mwende sawaBefore nilikua kwa buku jero wananipa..dk150.sms1000, gb1 kwa wiki dooh wakanitoa sijui kwakuwa nilikua najiunga mara kwa mara
buku dakika 70 bado una ugomvi nao?
Binafsi naina iko poa.Hazitoshi bado! Voda ninachowaelewa ni kuwa Hawa jamaa hawanaga longolongo wapo quality na hata wateja wao wanataka quality sio wanaoogopa kutumia hela!! Mkuu Kama pakikushinda njoo halotel voda huwa naigusagusa tu mi sifanyi kazi idara za helahela ila napenda huduma zao
*149*01* >3 utakutana na cheka zogo (mitandao yote)huwa najiunga weekly bundle... nambie bundle gani la kueleweka lenye dakika hizo za kutosha
Binafsi naina iko poa. View attachment 1356033
Nzuri Sana