

Polisi wanajua hao...kuna radi unatumiwa hadi ndani saa saba mchana jua kaliii!!
![]()
![]()
![]()
acha sasa duuh. Nitanunua ya buku 10
Mkuu sitanii mwaka 2010 nilikua kikazi huko, kuna mshikaji wangu mmoja alikua askari polisi alikua anatoka na mke wa mtu, you can't blive mshikaji kapigwa na radi mchana kweupe na jua kali cha ajabu ile radi haikumuua ilimchania nguo tukama sumbawanga naamini
Kule usukumani eeh!!Polisi wanajua hao...kuna radi unatumiwa hadi ndani saa saba mchana jua kaliii!!
Hapo alipewa onyo tu ila akirudia tena atakuwa majivu aisee.Mkuu sitanii mwaka 2010 nilikua kikazi huko, kuna mshikaji wangu mmoja alikua askari polisi alikua anatoka na mke wa mtu, you can't blive mshikaji kapigwa na radi mchana kweupe na jua kali cha ajabu ile radi haikumuua ilimchania nguo tu
Mshikaji alihama hadi kituo cha kazi alirudi zake mbeyaHapo alipewa onyo tu ila akirudia tena atakuwa majivu aisee.
Kuna sehemu flani huko sumbawanga maeneo ya kilando wanauza mezani, kuna za buku, hadi buku 10
Ntulya ipo maeneo gani chiefHuku maeneo ya ntulya ukiwa na jero unapata radi
mshkaji atakua Pogba huyoMkuu sitanii mwaka 2010 nilikua kikazi huko, kuna mshikaji wangu mmoja alikua askari polisi alikua anatoka na mke wa mtu, you can't blive mshikaji kapigwa na radi mchana kweupe na jua kali cha ajabu ile radi haikumuua ilimchania nguo tu