Khalid90
Member
- Jul 6, 2017
- 20
- 22
Zile nchi ambazo hazijapeleka raia wake kwa wingi kule US zinapewa nafasi nyingi sana kuliko zilizopeleka ila wanasema at least kila nchi isipungue 7% ya hao watu elfu 50.Daaah...so marekani ntakua naenda kama naenda Temeke tu
So chance ya kuwin ikoje (probability) na per country (Tanzania) wanapewa wangapi kikawaida?
Ishu nyingine ni kuwa unapewa permanent resident na haina limit. Kuishi na kufanya kazi.. so lottery ikikuangukia umepasua japo unakuwa sio raia ila unaishi for idefinite time.
Mambo mengine yote utajitegemea