Suprise JF-Expert Member Nov 2, 2012 2,696 1,062 Dec 10, 2012 #21 yani watu tunajisahaulisha kwelikweli, sa kashasahau ye kidumu anataka haki za maza house,
H happy amos JF-Expert Member Feb 23, 2012 251 434 Dec 10, 2012 #22 huyo rafiki yako anapigwa haogi nini sasa anachukia nn ye alitaka nini
Heart JF-Expert Member Nov 29, 2011 2,673 1,708 Dec 10, 2012 #23 BADILI TABIA said: yaani tutumie nguvu kumshauri hawara? Hajui kuwa hawara ni sawa na toilet paper unaitumia na kuitupa? Click to expand... Nimeipenda hii,'Hawara ni kama Toilet paper...' safi sana...!!!
BADILI TABIA said: yaani tutumie nguvu kumshauri hawara? Hajui kuwa hawara ni sawa na toilet paper unaitumia na kuitupa? Click to expand... Nimeipenda hii,'Hawara ni kama Toilet paper...' safi sana...!!!