Suprise JF-Expert Member Joined Nov 2, 2012 Posts 2,696 Reaction score 1,063 Dec 10, 2012 #21 yani watu tunajisahaulisha kwelikweli, sa kashasahau ye kidumu anataka haki za maza house,
H happy amos JF-Expert Member Joined Feb 23, 2012 Posts 251 Reaction score 434 Dec 10, 2012 #22 huyo rafiki yako anapigwa haogi nini sasa anachukia nn ye alitaka nini
Heart JF-Expert Member Joined Nov 29, 2011 Posts 2,673 Reaction score 1,714 Dec 10, 2012 #23 BADILI TABIA said: yaani tutumie nguvu kumshauri hawara? Hajui kuwa hawara ni sawa na toilet paper unaitumia na kuitupa? Click to expand... Nimeipenda hii,'Hawara ni kama Toilet paper...' safi sana...!!!
BADILI TABIA said: yaani tutumie nguvu kumshauri hawara? Hajui kuwa hawara ni sawa na toilet paper unaitumia na kuitupa? Click to expand... Nimeipenda hii,'Hawara ni kama Toilet paper...' safi sana...!!!