CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 6,939
- 22,989
Hili swali kuna mtu katandikwa na member wa kuitwa Hawachi kwenye thread moja hivi.
Yule jamaa sijui alimjibu nini, nikasema hivi kwa mfano hilo swali ningeulizwa mimi, ningejibuje?
Kusema la ukweli
kusema la ukweli
kusema la ukweli
Mimi mara ya mwisho kutoa pesa ilikuwaaaaaaaa......... (asee sijawahi,nisijichumie dhambi)
Nyie vibopa hebu semeni nyie
Mimi huo ndio ukweli wangu
Yule jamaa sijui alimjibu nini, nikasema hivi kwa mfano hilo swali ningeulizwa mimi, ningejibuje?
Kusema la ukweli
kusema la ukweli
kusema la ukweli
Mimi mara ya mwisho kutoa pesa ilikuwaaaaaaaa......... (asee sijawahi,nisijichumie dhambi)
Nyie vibopa hebu semeni nyie
Mimi huo ndio ukweli wangu