Peasant
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 3,949
- 687
Sasa hawa jamaa kama hawaaminiani hivyo, wanaendeshaje nchi?
nchi iko under auto-pilot mkuu! tunakwenda tu, kama tutafika au vipi hiyo anajua Muumba wetu! In short no vision.....kazi kwelikweli..!