F farooq2013 Member Joined Aug 11, 2013 Posts 98 Reaction score 16 May 20, 2014 #1 Hao kwenye picha ni mfano wa watu wanaotaka serikari tatu sijui kwann ww unasita kutaka serekari tatu
Hao kwenye picha ni mfano wa watu wanaotaka serikari tatu sijui kwann ww unasita kutaka serekari tatu
R Riziki Magembe JF-Expert Member Joined Apr 5, 2014 Posts 886 Reaction score 206 May 20, 2014 #2 Yeah serikali 3 ni mpango wa mungu
Kennedy Platinum Member Joined Dec 28, 2011 Posts 59,095 Reaction score 69,543 May 20, 2014 #3 :smile-big:Magamba tu ndiyo hayataki lakini mengi yanapenda 3 ila chama kinawatisha sana
VOICE OF MTWARA JF-Expert Member Joined Dec 20, 2012 Posts 3,099 Reaction score 2,209 May 21, 2014 #4 Kama tatu haziwezekani, mbili hazivumiliki
I IBM2014 JF-Expert Member Joined Mar 2, 2014 Posts 929 Reaction score 169 May 21, 2014 #5 Mimi naona bora kura ya siri