Ccm out! Tena unajua watu wengi wa ccm ni wazee ambao wengi wao wameshaogopa kwenda kupiga kura kwa kuhofia fujo. Kwahio wapigakura wengi watakuwa ni vijana wanaoiunga mkono UKAWA. Lowassa anashinda
Game change madame,mliokuwa mnamtetea kwa nguvu zote leo ndo mmeanza kumsema na walomsema mwanzo leo wanawauliza kwanini hamkupeleka mahakamani?so ninyi nyote ni wanafiki lakini nafikiri serikali ndo wanafiki zaidi ya wote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.