Hawa wawekezaji wanakaba mpaka Penati!!!!!!!!!!!

Rural Swagga

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
1,579
1,080
Mitaa ya KARIAKOO,,,.
WACHINA..jpg


BAJAJ..jpg
 
Acheni waingize bidhaa poa kwenye soko la tz - wana vibali & kodi wanalipa
 
Mi nadhani waachwe tu walete bidhaa kwa bei ya chni na sisi walala hoi tununue. Heri hawa wachina kuliko wahindi wanao kwapua mpaka benki kuu!

Tabia za wachina ni chanaganyikeni, maisha ya kawaida kabisa wanayaweza. Hawa jibagui kama wahindi. Wakipewa nafasi za ajira, wataomba za ualimu, upolisi, uanajeshi, wafagia ofisi, wapishi nk nk. Hawabagui tena hata wakilipwa kiduchu hawabishi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom