Mi nadhani waachwe tu walete bidhaa kwa bei ya chni na sisi walala hoi tununue. Heri hawa wachina kuliko wahindi wanao kwapua mpaka benki kuu!
Tabia za wachina ni chanaganyikeni, maisha ya kawaida kabisa wanayaweza. Hawa jibagui kama wahindi. Wakipewa nafasi za ajira, wataomba za ualimu, upolisi, uanajeshi, wafagia ofisi, wapishi nk nk. Hawabagui tena hata wakilipwa kiduchu hawabishi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.