Huyo wa kwanza uliyemtaja ndio katufikisha kwenye matatizo yote haya alipewa nafasi ya kujenga msing akajenga msingi mbovu.1. Mwl. Julius Kambarage Nyerere
Ukitazama akili, ushawishi na maarifa aliyokuwa nayo ingepaswa azaliwe kipindi ambacho nchi inao wasomi wa kutosha kumpa changamoto. Waliokuwepo wachache kama akina Hayati Kambona lakini kwa nchi kutokuwa na wasomi akina Hayati Kambona waliishia kuonwa wasaliti.
2. Zitto Zuberi Kabwe
Huyu anapambana kipindi ambacho tuna watu wanaojidai wasomi lakini wengi ni wachumia tumbo tu! Wasomi wa aina ya akina Mwigulu NcHuhemba, Palamagamba Kabudi n.k.