Ndugu zangu naombeni kujuzwa watangazaji hawa wako wapi mbona siwasikii tena siku hizi, au labda wameahamia stations ambazo hazisikiki mikoani huku nilipo. Yaani, Ezekiel Molongo, Sued Mwinyi na Misanya Bingi nilikuwa nawakubali sana.
Ndugu zangu naombeni kujuzwa watangazaji hawa wako wapi mbona siwasikii tena siku hizi, au labda wameahamia stations ambazo hazisikiki mikoani huku nilipo. Yaani, Ezekiel Molongo, Sued Mwinyi na Misanya Bingi nilikuwa nawakubali sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.