Keynez
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 3,621
- 6,512
Wakati wa kipindi cha tishio la corona, kulitokea upunguaji mkubwa wa idadi ya wasafiri jijini Dar es Salaam.
Niliwahi kuleta uzi nikauliza ile hali inamaanisha nini? Je, watu walilikimbia jiji au kwamba wasafiri wengi ni watu wasio na shughuli maalumu za kila siku kiasi kwaamba wanaweza kuzisitisha kwa muda?
Ilifika kipindi hadi wiki chache zilizopita, tulishaanza kuzoea level seat katika usafiri wa daladala.
Sasa wiki chache zilizopita, kumetokea mfumuko mpya wa wasafiri kama uliokuwepo zamani.
Bado napata maswali, hawa watu walikuwa wapi?
Niliwahi kuleta uzi nikauliza ile hali inamaanisha nini? Je, watu walilikimbia jiji au kwamba wasafiri wengi ni watu wasio na shughuli maalumu za kila siku kiasi kwaamba wanaweza kuzisitisha kwa muda?
Ilifika kipindi hadi wiki chache zilizopita, tulishaanza kuzoea level seat katika usafiri wa daladala.
Sasa wiki chache zilizopita, kumetokea mfumuko mpya wa wasafiri kama uliokuwepo zamani.
Bado napata maswali, hawa watu walikuwa wapi?