Hawa warembo wa Jeshi la nchi gani ??

0040gxqt.jpg

oops picha imegoma kuonekana sijui kwa nn
Nimempenda huyu wa kwanza kabisa hawa ni Wahudumu wa Ndege FirstLady1
 
hiyo ndiyo tuzo pekee au hiyo ni mojawapo.
na sisi wabeijing tukifanya mema tutapewa wanaume kumi na mbili mahendisamu??, i cant wait,imagine me with 12 handsome bikira babaz,lazima niache dhambi.

Dada Cheusi asante sana hili nalo laweza kuwa ni neno la leo.
 
Hiki ni kikosi maalumu cha nchi ya Libya,kazi yake kubwa ni kumlinda rais wa nchi hiyo Cornel Gadafi!!
 
Hivi hawa kweli hawawezi kuwa watarajiwa wa viti maalum kutoka CHADEMA?

Tuwe makini kujibu hoja husika!hapa CHADEMA inaingiaje?ndiyo maana watu wengi huwa wanafeli mitihani kutokana na majibu ya kijinga kama haya!!
 
Yaani jamani hamuoni kwamba hizo ni picha za mtu mmoja katika mitindo ya mavazi tofauti?

Lizard umeangalia mpaka macho yamota makengeza, hao wanatofautiana siyo mtu mmoja. Angalia wa mbele aliyepiga saluti, ana milonjo tofauti na wengine. Upana wa maaji ya uso ni tofauti.
 
unadhani CHADEMA wanatoa u MP kama kwa watu wa dizaiini ya akina Vick Kamata??? mambo hayo ni huko CCM

Mwambie huyooo!!!!!!!! chadema inatoa wabunge kwa kuzingatia ukabila na udini bwana!!!!!!!!1111
 
hiyo ndiyo tuzo pekee au hiyo ni mojawapo.
na sisi wabeijing tukifanya mema tutapewa wanaume kumi na mbili mahendisamu??, i cant wait,imagine me with 12 handsome bikira babaz,lazima niache dhambi.

Hiyo mbingu si-ihitaji kabisa maana kazi itakuwa ni kuchakachuana tu. Hakuna zawadi ama starehe nyingine huko ni ngono mtindo mmoja!
We Cheusimangala ukiwa na wanaume wawili ni issue hao 12 wakianza shughuli siku hito uta-amka kweli, au utakufa mara ya pili?
 
Back
Top Bottom